Habari kwa ufupi:
kama kawaida, baada ya kupokea alawanzi kama walivyoahidiwa na mtaalam wa recruitment wa kundi lao.... wazee wa kujilipua ndani ya JF aka suicide bombers wametinga tena!!!!
yaani kama nawaona na vibegi vyao vya mgongoni, laptop used na vile viredi kadhaa wakipaki huku wanacheki modem zina kiasi gani cha alawanzi waanze kulamba mafuba....!!!
As usual wakongwe hawana shaka ni different ID with the same password, ila vile vipya bado vinatumbua macho na kuangalizia utafikiri wanafanya matriculation test
LOL............... Boss and Chatu Dume, i am just having fun coz i know how they operate wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.