ni mkutano unaoendelea katika viwanja vya mwembe yanga huku aliyekuwa mjumbe wa baraza kuu aliyefukuzwa mwenyekiti wa mbeya mjini yasini mrotwa ameomba radhi mkutanoni na wameahidi kwenda kuomba kuondoa kesi waliyoifungua dhidi ya cuf, huku aliyekuwa mkurugenzi wa CUF Hamisi iddi katuga aliyekwenda CCM akirejae CUF.