Kunauwezakano wa kuhama chuo

jamii01

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
1,969
1,393
Naomba niulize kuna uwezakano wa kuhama chuo kama mtu ulikuwa unasomea nje ya Tanzania unaweza kurudi bongo ukamalizia course yako kwa level ya bachelor degree..
 
Inategemea ulikua unasoma chuo gani huko nje,ucje ukawa ulikua unasoma vyuo vya kata huko india ukadhani utapokelewa huku bongo.na ni nini kinachokurudsha tena bongo mkuu,au maisha magumu huko uliko?
 
shida siyo m,aisha magumu ila nataka nielewe kuliko kukaa na ujinga.
 
huu mfumo sidhani kama vyuo vya serikali imeuanza lkn kwa vyuo kama learnit vya wahindi (foreign branches) vinaruhusu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom