Vitalino mlelwa
Member
- Oct 22, 2011
- 94
- 10
Habarini wana JF Mimi ni mwajiriwa katika moja ya halwashauli kwenye hii halmashauli kila mtu anayeomba kupewa pesa ya kusafilishia mizigo anajibiwa kuwa labda apewe gari sasa kwakuwa naamini utawala bora ni ule utawala unaozingatia shelia na kwakuwa halmashauli nyingi watu wanalipwa naomba kuuliza wana JF Kwa wenye data na hili ni shelia gani inayo mtaka mwajiri amlipe mwajiriwa pesa ya kusafilishia mizigo.