Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,236
- 1,881
Hv sheria ya Tanzania inasemaje juu ya mtu atakayehusika kurekodi cm za watu mbalimbali bila ya ridhaa yao.?
Kwa kumbukumbu tu mwezi uliopita gazeti moja huko Uingereza limefungiwa na baadhi ya watu kushitakiwa. Naongea hayo nikirejea mazungumzo yaliyonaswa na Godbless Lema (mb-Arusha) baina ya diwani *Estom Milliyah* (aliyefukuzwa na chadema) na kamanda wa police mkoa wa Arusha bwaa T. Andengenye na jambo hilo lilithibitishwa na Lema mwenyewe ktk mkutano uliofanyika Alhamis wiki hii hapa Arusha.
Jamani wadau jambo hii limekaaje?
Kwa kumbukumbu tu mwezi uliopita gazeti moja huko Uingereza limefungiwa na baadhi ya watu kushitakiwa. Naongea hayo nikirejea mazungumzo yaliyonaswa na Godbless Lema (mb-Arusha) baina ya diwani *Estom Milliyah* (aliyefukuzwa na chadema) na kamanda wa police mkoa wa Arusha bwaa T. Andengenye na jambo hilo lilithibitishwa na Lema mwenyewe ktk mkutano uliofanyika Alhamis wiki hii hapa Arusha.
Jamani wadau jambo hii limekaaje?