Kunani Tanga

colyvas

Member
Feb 23, 2012
11
0
Wakubwa wa tamisemi njoni tanga muone mwenyekiti miaka 2 bila mkutano kichangani tunarudi nyuma tusaidieni wakubwa wasikie
 
Try to deliver details not just simple sentence like that,we are human being we need to know exact what happen over there kunani?
 
Wakubwa wa tamisemi njoni tanga muone mwenyekiti miaka 2 bila mkutano kichangani tunarudi nyuma tusaidieni wakubwa wasikie
Tanga poleni. Kutoka mkoa uliokuwa unaongoza kwa utajiri wa rasilimali watu na uchumi hadi kuwa mkoa wa viongozi Masangoma na washirikina mtaendeleaje? Hadi hapo mtakapojirekebisha na kuchagua viongozi wapenda maendeleo mtazidi kudidimia. Utafiti uliofanyika miaka ya hivi karibuni (Regional Social Economic Survey) unaonesha kuwa asilimia 75 ya viongozi hawana/hawapendi utaratibu wa kuitisha vikao vya kutoa taarifa muhimu kama za mapato na matumizi; asilimia 15 wanatoa hesabu na taarifa kanganyifu na 10 ndio afueni. Kazi kwenu.










Mki
 
ni kweli kabisa hili ni tatizo na sasa limeshaota sugu, suala la viongoz kuitisha mikutano ya vijiji au mitaa halipo, na endapo panafanyika mikutano huwa inatoka ngazi za juu.
Kwa mfano hapa tanga mtaa wa magomeni-mjimwema kata ya duga,. Hili limekuwa ni tatizo sugu kwa kiongoz wa mtaa, ktk kuitisha mikutano ya maendeleo ya mtaa kwa mtaa ndani ya kata zetu ni shida na penginepo hili swala linatokana na hofu ya maswali na changamoto hasa panapokuwepo na vijana wasomi kwny miji yetu...
Jamani viongoz 2badilike na kuondokana na dhana ya woga na 2kubali changamoto zinazotuhusu.
Pia ww kiongozi pendelea kuitisha mikutano ktk miji yako ili uwe kiongoz bora na msaada kwa wananchi wako.
Kuwa kiongoz ni dhamana na sio vinginevo na uwe mfano kama kiongoz bora.
TUBADILIKE
 
Leo hii nimetembelea Tanga ni sehemu nzuri sana ila hakuna biashara.
Wenzetu wakenya ni wengi hasa wanaotumoa mpaka wa Horohoro kwa. Biashara zao.
 
Poleni saaana Tanga.

Lakini si mengine si mnajitakia wenyewe!!!!!!!!!!!!

Jitahidini kuondowa utegemezi. Enzi zetu tulikuwa twafanya vyote wenyewe. Hatungoji SIRIKALI.
 
Back
Top Bottom