Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,025
- Thread starter
- #21
Huenda alikuwa ubalozini italy....so sioni shida kama alikuwa balozi ama mfanyakazi ubalozini lakini meseji imefika...umesikia TIBA...hivi we ni tiba mwambe au la??na huyo SINANI ni huyohuyo mwarabu ambae magari ya chama yanaendeshwa na mitoto yake uswahilini wakirandaranda na midem yao.....