KAULI ZENYE UTATA
..!!!
Wenje (Mbunge) v/s Adam Chagulani (Diwani)
Sababu "ukabila + kambi"
"Meya wa Mwanza hatufai ang'oke na wenje si msukuma hajali maendeleo yetu_Adam
Adam ni mzushi na mkabila ni zao la Zitto Z Kabwe Wenje
WENJE ANAJENGA KAMBI YA MBOWE, CHAGULANI KAMBI YA ZITTO.
Shibuda (Mbunge) v/s John Heche (Mkt BAVICHA)
Sababu "Ukanda +Kambi
"Shibuda ni mamluki, hatumuhitaji arudi CCM_Heche
"Heche aniombe radhi na asitumie BAVICHA kwa maslahi yake, ninayajua mengi ya CHADEMA msinilazimishe niyamwage hadharani_Shibuda
HECHE ANATAJWA KATIKA WALINZI SHUPAVU WA UNTOUCHABLE DOMINANCE KTK CHAMA.
Mbowe v/s Sugu - kuhusu Clouds
Sababu "self-interest"
Clouds wazushi , wanaibeba CCM na wanadhaminiwa na JK Joseph Mbilinyi aka Sugu.
Clouds ni chombo chetu sote, tunaweza kukitumia Mbowe
Mwenyekiti BAVICHA v/s Makamu Mwenyekiti BAVICHA.`
Sababu power factor
Tamko la Heche ni tamko lake, mimi sikushirikishwa wala hakukuwa na kikao cha kuidhinisha kauli hiyo, ana sababu binafsi na BAVICHA halihusiani nazo _ Makamu Mwenyekiti
Tamko la mwenyekiti ni tamko la BARAZA _ Mwenyekiti
Dr. Slaa V/S Lema
Sababu " Uongo wa Lema"
" Kauli ya Lema juu ya Vigogo wa CCM kuhamia Chadema si kauli ya Chama ni yake mwenyewe kwa kuwa sisi kama chama hatuna taarifa rasmi juu ya hilo *_ Dr. Slaa
My take;
Katika kipindi cha miaka michache hapo nyuma tulishuhudia kasi kubwa ya kukua kwa chama hiki na watanzania walio wengi hasa vijana wakionesha kukikubali na kukipenda. Ni chama ambacho kiliweza kutoa fursa kwa kila mmoja kushiriki shughuli za chama, kuchagua na kugombea. Tuliweza kuona vijana wengi wakipata nafasi kama madiwani na wabunge na hili lilihamasisha wengine kukiamini na kuwatumia vijana hawa kama mifano hai.
Imani imeanza kupotea:
Kulingana na matukio mbalimbali ndani ya chama hasa migongano na mifarakano ambayo imekuwa ikiendelea na kufikia baadhi ya watu kutishiwa ama kufukuzwa kabisa uanachama ktk chama.
Akihojiwa juzi na Clouds Fm Mhe. Mbowe alidai kuwa mifarakano hii si jambo la msingi na mwenye akili hapaswi kujadili hili kauli hii kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama imeshtua wengi, kwani mifarakano hiyo ambayo haina msingi wa kuimarisha chama na haina misingi ya kikatiba wala kisera katika chama bali ni matakwa ya watu na hulka binafsi ni vitu vinavyotishia uhai na makuzi ya Chama,KWA MTAZOMO WANGU-MIFARAKANO HII NI VYEMA IJADILIWE TENA KWENYE KAMATI YA MAADILI NA KUTOLEWA KARIPIO KALI.
Ni nani hasa UNTOUCHABLE DOMINANCE katika CHADEMA ?
Ukifuatilia kwa undani mifarakano hii katika Chama inayo sababu zinazoshabihiana sana na mfanano wa hali ya juu, yote kwa pamoja yanatokana na kuwepo kwa kundi hili la untouchable dominance ambalo Mbowe anatajwa kuwa ni kinara wake na ndio maana anajaribu kuweka namna ya kutojadiliwa mifarakano hiyo. Tangu kuasisiwa kwake Chadema kumekuwepo na dhana hii ya kuwepo watu rasmi kuandaliwa kwa nafasi Fulani ya juu ya chama hicho. Mnamo mwaka 2004 katika mchakato wa kumpata mgombea urais, alinukuliwa muasisi wa chama hiko Mzee Mtei akieleza kauli inayofafanua hili linaloendelea leo katika Chama, alisema kwa kutumia lugha ya kigeni .. We cant give this position to anyone ..
Wenje (Mbunge) v/s Adam Chagulani (Diwani)
Sababu "ukabila + kambi"
"Meya wa Mwanza hatufai ang'oke na wenje si msukuma hajali maendeleo yetu_Adam
Adam ni mzushi na mkabila ni zao la Zitto Z Kabwe Wenje
WENJE ANAJENGA KAMBI YA MBOWE, CHAGULANI KAMBI YA ZITTO.
Shibuda (Mbunge) v/s John Heche (Mkt BAVICHA)
Sababu "Ukanda +Kambi
"Shibuda ni mamluki, hatumuhitaji arudi CCM_Heche
"Heche aniombe radhi na asitumie BAVICHA kwa maslahi yake, ninayajua mengi ya CHADEMA msinilazimishe niyamwage hadharani_Shibuda
HECHE ANATAJWA KATIKA WALINZI SHUPAVU WA UNTOUCHABLE DOMINANCE KTK CHAMA.
Mbowe v/s Sugu - kuhusu Clouds
Sababu "self-interest"
Clouds wazushi , wanaibeba CCM na wanadhaminiwa na JK Joseph Mbilinyi aka Sugu.
Clouds ni chombo chetu sote, tunaweza kukitumia Mbowe
Mwenyekiti BAVICHA v/s Makamu Mwenyekiti BAVICHA.`
Sababu power factor
Tamko la Heche ni tamko lake, mimi sikushirikishwa wala hakukuwa na kikao cha kuidhinisha kauli hiyo, ana sababu binafsi na BAVICHA halihusiani nazo _ Makamu Mwenyekiti
Tamko la mwenyekiti ni tamko la BARAZA _ Mwenyekiti
Dr. Slaa V/S Lema
Sababu " Uongo wa Lema"
" Kauli ya Lema juu ya Vigogo wa CCM kuhamia Chadema si kauli ya Chama ni yake mwenyewe kwa kuwa sisi kama chama hatuna taarifa rasmi juu ya hilo *_ Dr. Slaa
My take;
Katika kipindi cha miaka michache hapo nyuma tulishuhudia kasi kubwa ya kukua kwa chama hiki na watanzania walio wengi hasa vijana wakionesha kukikubali na kukipenda. Ni chama ambacho kiliweza kutoa fursa kwa kila mmoja kushiriki shughuli za chama, kuchagua na kugombea. Tuliweza kuona vijana wengi wakipata nafasi kama madiwani na wabunge na hili lilihamasisha wengine kukiamini na kuwatumia vijana hawa kama mifano hai.
Imani imeanza kupotea:
Kulingana na matukio mbalimbali ndani ya chama hasa migongano na mifarakano ambayo imekuwa ikiendelea na kufikia baadhi ya watu kutishiwa ama kufukuzwa kabisa uanachama ktk chama.
Akihojiwa juzi na Clouds Fm Mhe. Mbowe alidai kuwa mifarakano hii si jambo la msingi na mwenye akili hapaswi kujadili hili kauli hii kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama imeshtua wengi, kwani mifarakano hiyo ambayo haina msingi wa kuimarisha chama na haina misingi ya kikatiba wala kisera katika chama bali ni matakwa ya watu na hulka binafsi ni vitu vinavyotishia uhai na makuzi ya Chama,KWA MTAZOMO WANGU-MIFARAKANO HII NI VYEMA IJADILIWE TENA KWENYE KAMATI YA MAADILI NA KUTOLEWA KARIPIO KALI.
Ni nani hasa UNTOUCHABLE DOMINANCE katika CHADEMA ?
Ukifuatilia kwa undani mifarakano hii katika Chama inayo sababu zinazoshabihiana sana na mfanano wa hali ya juu, yote kwa pamoja yanatokana na kuwepo kwa kundi hili la untouchable dominance ambalo Mbowe anatajwa kuwa ni kinara wake na ndio maana anajaribu kuweka namna ya kutojadiliwa mifarakano hiyo. Tangu kuasisiwa kwake Chadema kumekuwepo na dhana hii ya kuwepo watu rasmi kuandaliwa kwa nafasi Fulani ya juu ya chama hicho. Mnamo mwaka 2004 katika mchakato wa kumpata mgombea urais, alinukuliwa muasisi wa chama hiko Mzee Mtei akieleza kauli inayofafanua hili linaloendelea leo katika Chama, alisema kwa kutumia lugha ya kigeni .. We cant give this position to anyone ..