ndo hao madaktari wanakuja kuwa na ethics za ajabu sana wanaweza kuwa wanatumia gloves kwa mgonjwa zaidi ya mmoja bila kujali maambikiziMbona wenzenu wa College of Health and Allied Sciences wamezoea?? Hawana maji toka wahamie kwenye majengo yao miezi 9 iliyopita!! Wanajifunza afya kwenye mazingira machafu na hatarishi