zaratustra
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 848
- 223
Confirmed ni Bernard Membe na Amosi Makala waliitwa kwa spika kujieleza!!
Acha uongo wewe
Confirmed ni Bernard Membe na Amosi Makala waliitwa kwa spika kujieleza!!
niliposikia habari hii nilijua tuu lazima watakuwa wabunge wa ccm maana wao ndio ambao sio makini na hawaheshimu muda wa kutumikia waajiri wao yaani wananchi
Acha uongo wewe
Kwahiyo siku hizi wabunge na mawaziri wanakaa pamoja bungeni? tuache utoto, nendeni mkaangalie matokeo yenu Necta mpunguze wingi humu muende mashuleni.Confirmed ni Bernard Membe na Amosi Makala waliitwa kwa spika kujieleza!!
Lete ukweli!
Kwahiyo siku hizi wabunge na mawaziri wanakaa pamoja bungeni? tuache utoto, nendeni mkaangalie matokeo yenu Necta mpunguze wingi humu muende mashuleni.
Kama unatafuta bwana mimi ni wrong person & wrong timing, siko hapa kutafuta skrepa kama wewe.Hv bungeni unavyoelewa kuwa ni kwny session tuuu yaani akili yako ni fupi kama umbile lako ni katika majengo ya bunge na walikuwa wakitumia simu kilichowaumbua ni sauti!!nyambafff zakoo ...............no network
Kama unatafuta bwana mimi ni wrong person & wrong timing, siko hapa kutafuta skrepa kama wewe.
Maileage imetumika sana hiyo, hapa hatununui skrepa.Nani anataka vijitu vifupi kama wewe vibahilii mapenzi havijui havina hela uchwAlo tuu! Kwa kipi hasa nikuhitaji weye full kunuka jua,kikwapa,kama mfugo vile huna hata aibu unajikojolea kitandani hadi leo kubwa zimaaa ovyoooooo!,,,,,n,,,nn.....network failed!
Nani anataka vijitu vifupi kama wewe vibahilii mapenzi havijui havina hela uchwAlo tuu! Kwa kipi hasa nikuhitaji weye full kunuka jua,kikwapa,kama mfugo vile huna hata aibu unajikojolea kitandani hadi leo kubwa zimaaa ovyoooooo!,,,,,n,,,nn.....network failed!
Wadau hivi tetesi ni ya kweli na kama ni ya kweli ni waziri yupi na mbunge yupi?
Maileage imetumika sana hiyo, hapa hatununui skrepa.