- Thread starter
- #21
MWANAHALISI ndo usalama wetu wa taifa,TISS imejaa wahuni wanaolinda wahuni wenzao na sio mali zetu kama taifaNani ambaye hajui kuwa Kubenea anahudhuria vikao vya propaganda kule CDM? Unategemea aende kinyume na maazimio ya vikao?
Serikali ya JK bwana ngangari kweli, pamoja na mtandao wa propaganda ulioandaliwa na CDM bado inadunda na kwa bahati nzuri wananchi walio wengi wameshajua janja hiyo ya CDM. Mbona akina Ananilea Nkya Hellen Kijo Bisimba wako kimya? au bado wanaandaa zengwe lingine ili watakapoibuka CCM chali? tehe tehe tehe, JK usihofu Watanzania walio wengi wako nyuma yako.