Kuna wanaume hawajui jinsi ya kumbusu mwanamke, je ni kilema au ni kukosa maarifa?

Ashura9

JF-Expert Member
Oct 21, 2012
739
484
Nilifuatwa na binti mmoja akilalamika kuwa amepata mchumba mzuri kwa kila jambo kasoro hawezi kabisa kumpa busu. Je, huu ni ugonjwa au ni nini? mimi binafsi sijawahi kusikia mwanaume asiyejua kupiga busu, hii ni mpya.....

Kwa busu namaanisha yote, french kiss na mabusu mengine. Huyu jamaa ana miaka 40 na binti 28yrs sidhani kama ni kukosa experience..
 
Nilifuatwa na binti mmoja akilalamika kuwa amepata mchumba mzuri kwa kila jambo kasoro hawezi kabisa kumpa busu. Je, huu ni ugonjwa au ni nini? mimi binafsi sijawahi kusikia mwanaume asiyejua kupiga busu, hii ni mpya.....

Kwa busu namaanisha yote, french kiss na mabusu mengine. Huyu jamaa ana miaka 40 na binti 28yrs sidhani kama ni kukosa experience..
Ni mazoea na mtazamo tuu wengine wanapenda kununuliwa nguo wengine kushikwa mkono wengine kupelekwa Beach nknk
 
Nyakati zingine mabinti akili zao huwa zinashangaza na kustaajabisha.....yaani baada ya kuangalia sifa muhimu anazopaswa kuwa nazo mume wewe unaangalia kitu cha kipuuzi kama busu tu.....hivi ni vitu ambavyo wanandoa huwa wanaviongelea ndani kwani hakuna chuo cha mahaba kusema kuwa labda anatakiwa akapate kozi huko.....

Akiwa mahiri wa kupiga makisi utakuja na sredi kuwa hakufikishi kileleni.....

Akiwa mahiri kukufisha kileleni utakuja na sredi kuwa ana mchepuko......
 
Nyakati zingine mabinti akili zao huwa zinashangaza na kustaajabisha.....yaani baada ya kuangalia sifa muhimu anazopaswa kuwa nazo mume wewe unaangalia kitu cha kipuuzi kama busu tu.....hivi ni vitu ambavyo wanandoa huwa wanaviongelea ndani kwani hakuna chuo cha mahaba kusema kuwa labda anatakiwa akapate kozi huko.....

Akiwa mahiri wa kupiga makisi utakuja na sredi kuwa hakufikishi kileleni.....

Akiwa mahiri kukufisha kileleni utakuja na sredi kuwa ana mchepuko......
mtani mwanamke ukiweza kumridhisha basi we ni mshindi ..
 
Mwambie aache ujinga au arudi kwa huyo anayejua kupiga kiss
 
mtani mwanamke ukiweza kumridhisha basi we ni mshindi ..
Je mtani utachagua mwanaume yupi kati yule ambaye ni mahiri wa kupiga denda lakini utendaji kazi wa mtalimbo ni wa kusua sua au yule ambae....hajui lolote kuhusu denda lakini utendaji kazi wa kifanyio chake ni wa uhakika....hapo utamchagua.....(hela weka pembeni kwanza)
 
Je mtani utachagua mwanaume yupi kati yule ambaye ni mahiri wa kupiga denda lakini utendaji kazi wa mtalimbo ni wa kusua sua au yule ambae....hajui lolote kuhusu denda lakini utendaji kazi wa kifanyio chake ni wa uhakika....hapo utamchagua.....(hela weka pembeni kwanza)
hapo nachagua mwenye mtalimbo unaopiga kazi ... denda kwanza linachofa
 
Nimegundua wanawake wengi humu JF hawana Siri hata umfanyeje haridhiki lazima akulete jamvini kuwa hajatosheka
Wengine tunazamia chumvini mpaka tunazungukia mtandaoni lakini kwa vile kazoeshwa Francais kiss lazima ataenda elezea k inaliwa siku hizi na hasa wachagga na wapemba
 
Nimegundua wanawake wengi humu JF hawana Siri hata umfanyeje haridhiki lazima akulete jamvini kuwa hajatosheka
Wengine tunazamia chumvini mpaka tunazungukia mtandaoni lakini kwa vile kazoeshwa Francais kiss lazima ataenda elezea k inaliwa siku hizi na hasa wachagga na wapemba


Mkuu siku hizi wana magroup ya whatsapp wengi wanayaita "" Marriage Talk""

Ni wanaongea matapishi mbayaaa
Wakimaliza wana-screenshot then zinafowadiwa wanaume weeeee...

Hakuna siri tena
 
Busu nalo mpaka umhusishe na shost?
Vitu vingine mnaeza elekezana na mwenzi wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom