jaqfantasy212
JF-Expert Member
- Dec 17, 2012
- 542
- 257
habari wanajamvini...
ningependa leo niwaombe wanaume watuelewe kama mlikuwa hamtujui, zaidi nazungumza na wanaume walio kwenye mahusiano, unaweza umkuta mpenzi wako amenuna na usijue kilichomfanya anune ni kitu gani, ukweli ni kwamba yeye sio chizi mpaka aamue kununa bila sababu ya msingi, mfano:unaweza ukawa umemuudhi kwenye maongezi yako na wewe usijue kama kuna sentensi ilimkera wakati unaongea na yeye akasindwa kusema kama umemboa kwenye maongezi yako matokeo yake unamkuta mtu amenuna....tafadhali wababa na wakaka unapoona hali ya hewa imebadilika ni wajibu wako kumuuliza mwenzi wako katika hali ya upendo tatizo ni nini, na yeye atakwambia, mtaombana msamaha yataisha na mtaendelea na maisha yenu... kumbuka mwenzi wako anahitaji sana upendo wako unapozungumza naye katika hali ya upendo, anaona unamjali na kumthamini....
ni hayo tu kwa leo....
ningependa leo niwaombe wanaume watuelewe kama mlikuwa hamtujui, zaidi nazungumza na wanaume walio kwenye mahusiano, unaweza umkuta mpenzi wako amenuna na usijue kilichomfanya anune ni kitu gani, ukweli ni kwamba yeye sio chizi mpaka aamue kununa bila sababu ya msingi, mfano:unaweza ukawa umemuudhi kwenye maongezi yako na wewe usijue kama kuna sentensi ilimkera wakati unaongea na yeye akasindwa kusema kama umemboa kwenye maongezi yako matokeo yake unamkuta mtu amenuna....tafadhali wababa na wakaka unapoona hali ya hewa imebadilika ni wajibu wako kumuuliza mwenzi wako katika hali ya upendo tatizo ni nini, na yeye atakwambia, mtaombana msamaha yataisha na mtaendelea na maisha yenu... kumbuka mwenzi wako anahitaji sana upendo wako unapozungumza naye katika hali ya upendo, anaona unamjali na kumthamini....
ni hayo tu kwa leo....