Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #21
On the same infrastructure tip...vipi zile sehemu ambako watu wamejenga kiholela holela? Maana kuna sehemu kama pale Tabata, Ubungo, au hata mitaa ya Tangi bovu ambako hakuna njia hata gari na hata baiskeli na pikipiki hazifiki. Kuna nyumba na sehemu za starehe (baa na migahawa) zinazofikika kwa miguu tu. Huko kukitokea moto itakuwaje?
Hivi kweli tunaamini watu hujenga "holela"?