Juma Bundala
Member
- Mar 9, 2012
- 71
- 5
Baadhi ya wataalamu wa Lugha ya kiswahili wamejadili kuwa maneno mengi ya kiarabu kwenye kiswahili kama SHUKRUNI,AHSANTE,SHIKAMOO,NK nimaneno ya Kiarabu.Naomba kujua kama kiswahili ni Kiarabu au kimetokana na Kiarabu,je Wabantu ambo ni Msingi wa Kiswahili Pwani ya Afrika Mashariki na kati tuwaweke wapi?