Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
- Thread starter
- #41
mmmhhh hatari kuwa mwangalifu...
kwani kama we hauko tayari si vema kupata mtoto..
wote mnatakiwa kujitayarisha.....
kama Mungu akija kuwajalia kupata mimba
hiyo ni kazi yako na bibie....
huyo dada aache kuingilia kwani hayamuhusu...
hata mie sipendi watu watoe mimba...(lakini hii ni choice ya kila mtu)
mimi naona ni borea ku prevent from the 1st moment...
o just after wards...
asannte sana afrodenzi nimefARIJIKA KWA USHAURI WAKO lakini bado kama ana mimba inabidi niwe na wasiwasi na hii mimba kwa sababu sisi mara ya mwisho kukutana ilikuwa ni tr 3/12 na zilikuwa sio siku mbaya kwake //kwa hiyo uwezekano wa kuchakachuliwa ni mkubwa tu hapa