Kuna uwezekano wa mimba hapa kweli?

mmmhhh hatari kuwa mwangalifu...
kwani kama we hauko tayari si vema kupata mtoto..
wote mnatakiwa kujitayarisha.....
kama Mungu akija kuwajalia kupata mimba
hiyo ni kazi yako na bibie....
huyo dada aache kuingilia kwani hayamuhusu...
hata mie sipendi watu watoe mimba...(lakini hii ni choice ya kila mtu)
mimi naona ni borea ku prevent from the 1st moment...
o just after wards...

asannte sana afrodenzi nimefARIJIKA KWA USHAURI WAKO lakini bado kama ana mimba inabidi niwe na wasiwasi na hii mimba kwa sababu sisi mara ya mwisho kukutana ilikuwa ni tr 3/12 na zilikuwa sio siku mbaya kwake //kwa hiyo uwezekano wa kuchakachuliwa ni mkubwa tu hapa
 
asannte sana afrodenzi nimefARIJIKA KWA USHAURI WAKO lakini bado kama ana mimba inabidi niwe na wasiwasi na hii mimba kwa sababu sisi mara ya mwisho kukutana ilikuwa ni tr 3/12 na zilikuwa sio siku mbaya kwake //kwa hiyo uwezekano wa kuchakachuliwa ni mkubwa tu hapa

kwa kweli kama umetumia condom na maelezo yote umefuata ..
si dhani kama atakuwa mjamzito...
sasa hivi ndo wakati mzuri wakufanya pregnant test...
kwasababu tayari ni zaidi ya wiki mbili..
kama alifanya wiki iliyopita na ikawa negative afanye tena..
kwani pregnant test inaonyesha majibu sahihi wiki mbili baada ya tendo la ndoa..
mi na dhani tu mnaogopa bure si dhani ka ni mjamzito.. (labda tu kama condom ilitoboka au ulinunua wrong size.)
mi hizi condom naziaamini sana..
 
kwa kweli kama umetumia condom na maelezo yote umefuata ..
si dhani kama atakuwa mjamzito...
sasa hivi ndo wakati mzuri wakufanya pregnant test...
kwasababu tayari ni zaidi ya wiki mbili..
kama alifanya wiki iliyopita na ikawa negative afanye tena..
kwani pregnant test inaonyesha majibu sahihi wiki mbili baada ya tendo la ndoa..
mi na dhani tu mnaogopa bure si dhani ka ni mjamzito.. (labda tu kama condom ilitoboka au ulinunua wrong size.)
mi hizi condom naziaamini sana..
poa itabid kesho yufanye test na nitawaaimbia result..ila yeye anadai anatapika ndio maana ana wasi wasi
 
poa itabid kesho yufanye test na nitawaaimbia result..ila yeye anadai anatapika ndio maana ana wasi wasi

mmhh haya nasubiria hizo result kwa hamu lol
nway labda anatapika kwa ajili ya wale samaki ....lol
kutapika, sijui kusikia kichefu chefu mmhhhh haya ya kawaida tu...
nyie fanyeni hiyo test mmjue kama ndo hivyo au sivyo...
kila lakheri..
 
Wakuu habarini zetu,naombeni mawazo yenu wakuu. Demu nilitembea naye TR 3 na TR 4..na yeye siku zake za kuwa mwezini ni tarehe 28. Sasa demu ananiambia hajisikii vizuri .. Ndio nataka kujua kuwa kuna uwezekano wa mimba hapa kwa wataalamu..nilitumia mipira lakini si unajua uwezekano ni mkubwa sana tu.

Always use condoms! Nenda kapime na Ngoma baada ya miezi 3
 
IVUGA, vipi bro, kwani nyie SIMBA , mkicheza boli mwataka matokeo yapi????, Magoli na Mabao sio?, Basi kumbuka "Every Action has a Responsibility!!!!!!"
 
IVUGA, vipi bro, kwani nyie SIMBA , mkicheza boli mwataka matokeo yapi????, Magoli na Mabao sio?, Basi kumbuka "Every Action has a Responsibility!!!!!!"[/QUOTE]

i agree with this and i know im responsible now
 
Inawezekana tu akawa amepata mimba kutoka kwako AU anakubambikia.Kuhusu kuhesanu tarehe hiyo husitumie kabisa kwani uchafu(damu) upatikanao kwa tarehe husika huwa ni mayai yaliyopasuka baada ya kukosa manii kutoka kwa me .Hivyo mayai yanaweza kutegeshea kwa siku kadhaa na ikitokea yakakosa manii kwa siku hizo hupasuka ambayo ndiyo damu.hapa watu wengi hukosea kwa kudhani tarehe ya mwezini kwa akina dada kudhani ndiyo siku hatari wakati siku hatari ni kuhesanu siku 7 before na 7 after .take care
Kweli tarehe za mwezini na tarehe zinazo fata mwezi ni hatari ila hiyo theory yako ya mayai kupasuka, I am affaid sio hivo kabisa...
 
Inawezekana tu akawa amepata mimba kutoka kwako AU anakubambikia.Kuhusu kuhesanu tarehe hiyo husitumie kabisa kwani uchafu(damu) upatikanao kwa tarehe husika huwa ni mayai yaliyopasuka baada ya kukosa manii kutoka kwa me .Hivyo mayai yanaweza kutegeshea kwa siku kadhaa na ikitokea yakakosa manii kwa siku hizo hupasuka ambayo ndiyo damu.hapa watu wengi hukosea kwa kudhani tarehe ya mwezini kwa akina dada kudhani ndiyo siku hatari wakati siku hatari ni kuhesanu siku 7 before na 7 after .take care

Duh hii kali!
 
condom ya nini wakati tulishapima tunajiamini sema hatujajiandaa tu kuwa na mtoto bado
<br />
<br />
Hamjajiandaa kivipi mkuu,kwani hadi mnafikia hatua ya kurukiana si mlijua risk ni kupata magonjwa ya zinaa,UKIMWI au mimba.,kama ni mimba wewe jiandae tu kulea mwana.
 
haiwezekani iwe kila tar 28 lazima ipite au iwahi ni mara chache sana kuwa tar hiyo hiyo....however.......hizo tar ulizommega uwezekano wa kupata haupo...lets say ilikuwa nov 28 na anakuwa kwenye hedhi siku 3 au 4, tarehe zake za danger zitakuwa tar 8 mpaka 14 au 15 then kuanzia hapo ni mteremko tena mpaka tar 26 dec ndio ataona siku zake........okaaaaay



Ni kwamba mwanamke yai lake linaanza kutengenezwa ndani ovari kuanzia siku ya 3-5 tokea siku ya kwanza ya kuanza kuona damu yake ya hedhi,hivyo basi yai litakamilika au kuiva siku ya 13 na siku ya 14 yai linatolewa nje ya ovari hapo sasa linasubiri mbegu ya kiume kulirutubisha.Kwa upande mwingine mwanaume ana mbegu za aina 2 xy yani x-female na y-male mbegu ya x huwa ndiyo inayoishi muda mrefu than y,yani inakaa 48-72hrs,while y hukaa 24hrs only then hufa.hivyo basi kma wewe mwanaume ulikutana na mke kuanzia siku ya 10-17 tokea hedhi yake lazima anase.
 
<br />
<br />
Hamjajiandaa kivipi mkuu,kwani hadi mnafikia hatua ya kurukiana si mlijua risk ni kupata magonjwa ya zinaa,UKIMWI au mimba.,kama ni mimba wewe jiandae tu kulea mwana.

mkuu nishasema napima mara kwa mara na nipo safi ila mda wa kupata mtoto ndio bado sijajiandaa lakni akitokea no abort
 
Wakuu habarini zetu,naombeni mawazo yenu wakuu. Demu nilitembea naye TR 3 na TR 4..na yeye siku zake za kuwa mwezini ni tarehe 28. Sasa demu ananiambia hajisikii vizuri .. Ndio nataka kujua kuwa kuna uwezekano wa mimba hapa kwa wataalamu..nilitumia mipira lakini si unajua uwezekano ni mkubwa sana tu.

Mkuu unatutamanisha tu.....mbona hukutushirikisha wakati unammega?
 
mbona mnamsanif mwenzenu,amesema UKIMWI anapima mara kwa mara.lakini mbona una wasiwasi kama mimba anayo isije ikawa ya kubambiukiwa.jee huyo msichana unamuamini kweli?
 
Back
Top Bottom