HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
habari wana JF.
Mimi nimshiriki mzuri wa mchezo wa soka, mwaka jana nilipata mchubuko baada ya kuanguka nikiwa nacheza mpira na kidonda kilishapona kabisa ila kovu bado lipo na linaonekana jeusi. mimi ni maji ya kunde ila kovu ni jeusi na si kubwa. je kuna dawa waweza paka likatoka au likawa si jeusi??
Maoni yenu tafadhari.
Mimi nimshiriki mzuri wa mchezo wa soka, mwaka jana nilipata mchubuko baada ya kuanguka nikiwa nacheza mpira na kidonda kilishapona kabisa ila kovu bado lipo na linaonekana jeusi. mimi ni maji ya kunde ila kovu ni jeusi na si kubwa. je kuna dawa waweza paka likatoka au likawa si jeusi??
Maoni yenu tafadhari.