Kwanini unajitetea sana?inawezekana kama Mungu kapanga basi mtakua pamoja daima. huku kuna hadi ndoa ilitangazwa kabisa. fungua ile section ya love connect tafuta thread utaona tena huyo mwanamke alikua bikra. na. ana. miaka 40. walioko mitaani. ndo walioko humu chamsingi ni kupata mtu sahihi tuu. mimi naitumja sana mitandao ya kijamii na ni mtu mwema.
nasimamia ukweli.Kwanini unajitetea sana?
hao waliopo huko mtaana na unakutana nao kila siku ndo wapo huku so uwezekano upo.Kwanini unajitetea sana?
Una uzoefu huo? I mean, umewahi kukutana na mtu hewani na mkatengeneza mahusiano yenye afya?Ndiyo... Inawezekana
Teh takwambia badaeUna uzoefu huo? I mean, umewahi kukutana na mtu hewani na mkatengeneza mahusiano yenye afya?
..aaaah, nimeshakumbuka.Teh takwambia badae
ni kweli ndiyo, si unakumbuka eenh? hehehehNdiyo... Inawezekana
Ha haaani kweli ndiyo, si unakumbuka eenh? heheheh
Are u a philosopher...based on ?Kutafuta mchumba/mwenza kwenye mitandao ya kijamii, ni wazo bovu na la hatari zaidi. Kupata mchumba/mwenza kupitia mitandao ya kijamii, inawezekana sana.
Inawezekana, hasa Badootoka nimeanza kutumia mitandao ya kijamii fb,twitter na jamii forums naonaga watu wanatafuta wachumba.
SWALI: hv ni kweli kuna m2 ameshawahi kumpata na wakakaa nae zaid ya miaka 5 kama yupo aseme .