Kuna umuhimu jaman,i wa ...........................

Ngo

JF-Expert Member
May 25, 2010
284
51
Wana JF

Ni kitu cha kawaida kwa mzazi kumkumbushia mtoto/kijana wake kuhusu suala la mapenzi na mihemuko inayowapata vijana katika umri wa kubarehe au niseme katika level ya sekondari na kurudi chini. Hata vyuoni pia wazazi wanakumbushia vijana kuwa makini katika ulimwengu wa sasa uliojaa vishawishi vya kila namna na athari ya magonjwa yaliyopo. Kwa upande mwingine kwa watu wengi walioko kwenye ndoa suala la kukumbushana hili jambo la kila partner kuwa makini linachukuliwa kuwa ni jambo linalojulikana tunakuwa na assumption kuwa wenzi wetu wako makini hawahitaji kukumbushiwa. Mwisho wake ndo tunaona watu walioowa au kuolewa bado wanazidi kutembea nje ya ndoa zao kama vile hawako katika ndoa. Mifano mingi kuhusu hili inaonekana mitaani na hata huko makazini.

Kwa upande wangu naonelea, na huwa tunakumbusha na mwenzi wangu kuwa makini kwa kuchukua taadhari zote zinazowezekana katika kulinda, kuimalisha na kuboresha uhusiano wetu wa mapenzi. Na hili kwangu mimi linafanya kazi maana huwa tunaongea kinagaubaga athari ya mmoja wetu kuwa na mausiano mengine pembeni na faida ya kuwa waaminifu. Imefikia maali wengine wanaamua kula viapo tena kwa kwenda kwa mchungaji kukumbushia. Wana JF watu waendelee ku-assume ‘’ukiwa kwenye mausiano unajua athari ya kutoka nje ya ndoa bila kukumbushana?’ Hasa kwa wanandoa.
 
Wana JF

Ni kitu cha kawaida kwa mzazi kumkumbushia mtoto/kijana wake kuhusu suala la mapenzi na mihemuko inayowapata vijana katika umri wa kubarehe au niseme katika level ya sekondari na kurudi chini. Hata vyuoni pia wazazi wanakumbushia vijana kuwa makini katika ulimwengu wa sasa uliojaa vishawishi vya kila namna na athari ya magonjwa yaliyopo. Kwa upande mwingine kwa watu wengi walioko kwenye ndoa suala la kukumbushana hili jambo la kila partner kuwa makini linachukuliwa kuwa ni jambo linalojulikana tunakuwa na assumption kuwa wenzi wetu wako makini hawahitaji kukumbushiwa. Mwisho wake ndo tunaona watu walioowa au kuolewa bado wanazidi kutembea nje ya ndoa zao kama vile hawako katika ndoa. Mifano mingi kuhusu hili inaonekana mitaani na hata huko makazini.

Kwa upande wangu naonelea, na huwa tunakumbusha na mwenzi wangu kuwa makini kwa kuchukua taadhari zote zinazowezekana katika kulinda, kuimalisha na kuboresha uhusiano wetu wa mapenzi. Na hili kwangu mimi linafanya kazi maana huwa tunaongea kinagaubaga athari ya mmoja wetu kuwa na mausiano mengine pembeni na faida ya kuwa waaminifu. Imefikia maali wengine wanaamua kula viapo tena kwa kwenda kwa mchungaji kukumbushia. Wana JF watu waendelee ku-assume ''ukiwa kwenye mausiano unajua athari ya kutoka nje ya ndoa bila kukumbushana?' Hasa kwa wanandoa.

Nakubaliana na wewe kuna haja ya kuzungumza kuboresha mahusiano,lakini uamuzi wa mwisho atoke nje ya ndoa na athari zake ni wa mtu binafsi kutegemeana na sababu zake za kutoka nje ya ndoa......sidhani kama wanaotoka nje ya ndoa hawajui athari zake au kwamba hawajakumbushwa.......
 
Husninyo;1630266]Kukumbushana muhimu ingawa sikio la kufa halisikii dawa.

Wa hivyo akija kuomba msamaa asamehewe au ndo kuachana moja kwa moja? Ni kiwa na maana kila mara mnajadili umuhimu wa kuwa waaminifu kwa kila mmoja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom