4X4byfar
JF-Expert Member
- Oct 29, 2008
- 201
- 17
Jamani kwani akiwa kahaba aliyekubuhu ndio ana-make good wife?? Lazima kuna vinavyofundishwa ambavyo havihusiani na meza kuu!!
Nakumbuka kuna moja niliisikia mtu anafundwa kuwa mume ni mfalme tena wa kumheshimu na hata ukisikia ameachia hewa usicheke wala kuguna we jifanye kama hujasikia kisha taratiiiiibu toka nje ukaliteme "Pwaahaaaa" ukilisindikiza na tusi lolote unalojiskia kulitoa ila usiliseme kwa sauti.... kisha rudi taratibu na tabasamu paaana usoni likisindikizwa na darling, laaziz, sweetie, nyonda and you name it
Ahaa mambo ya ISIDINGO hayo, jamani mumeo tena anakuwa kama simba wa kuogopewa. Hata utani hakuna jamani kwa swala kama hilo. Khaa siyawezi kwa hapo.