Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,059
- 4,053
Haya mambo mengine haya ndiyo yanayosababisha watu kuzalia kwenye kumbi za harusi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauliza tu
mhhh bujibuji,
binafsi sijui ila jmosi nimesoma kwenye gazeti la mwananchi jamaa anaomba ushauri. Amekuwa kwenye uhisiano kwa muda mrefu sasa na waliaahidiana kutofanya ngono hadi siku ya harusi. Vikao vya harusi vimeanza na sasa amechanganyikiwa.kisa?? Jogoo hawiki. Sasa anaomba msaada. Hebu jaribu kumpa ushauri huyo mshikaji na wakati huo umkumbuke dada wa watu ambaye amesaga lami miaka kibao akimsubiri mtu ambaye ni half dead sexually!
Aliyesema majaribu ni mtaji sijui alikuwa anamaanisha nini?
Kuna majaribu makubwa sana na mazito.
Sijui huyu akamuone saikolojisti gani ili aweze akamsaidia.
kuna mtu anaitwa PAULSS amesema hivi nanukuu "kinadharia nisawa ila kivitendo sio kweli" mwisho wa kunukuu.
dear bretheren kibinadamu wachumba wengi wanashindwa kusubiri, ipo siku watafanya tuu kabla ya ndoa.HABARI NDO HII/ UKWELI MTUPU
Roho ipo tayari ila Mwili unashindwa...............
nawasilisha..
muuliza swali amefanya hii dhambi sasa anatafuta sehemu ya kuhalalisha...unahangaika na roho yako hiyo..piga goti Mwmombe Mungu, kama hautafnaya hivyo, maangamizi yako mbele yako. na wale utakaowakomvisi wakafanye kama ulivyofanya wewe damu yao itadaiwa mikononi mwako.
:whoo:kama tunatakiwa kufanya mapenzi baada ya ndoa, kwa nn tuna balehe kabla ya ndoa? ukipata jibu la hilo swali basi na swali lako kwishney
:whoo:
Mkuu,
Kwangu suala siyo tu muda wa kusubiri, bali sababu za kusubiri. Nilisoma kitamu kimoja kinaitwa "I married you". Mchungaji mmoja anasema alishindwa kujibu swali hili kwa wanafunzi ambao walikuwa kwenye uhusiano kwa zaidi ya miaka 3 na bado wana miaka kama 3 zaidi wamalize masomo yao + mingine ya kutafuta kazi. Je, hao waendelee kusubiri?
Kila kitu kina mazingira yake. Tuwe waangalifu na vitabu vilivyoandikwa 100 yrs BC ambapo watu walikuwa wanaoana baada ya kubalehe. Sasa hivi watu wanaishi muda mrefu kabla ya kuoana wakati mwingine kuzidi ule watakaoishi kwenye ndoa. Je, na hao tuwashauri kusubiri kwa kutumia Agano la kale?
kuna mtu anaitwa PAULSS amesema hivi nanukuu "kinadharia nisawa ila kivitendo sio kweli" mwisho wa kunukuu.
dear bretheren kibinadamu wachumba wengi wanashindwa kusubiri, ipo siku watafanya tuu kabla ya ndoa.HABARI NDO HII/ UKWELI MTUPU
Roho ipo tayari ila Mwili unashindwa...............
nawasilisha..
Jf ni nani hapa ndani amefanya mapenzi na mke wake baada ya ndoa?
Kipindi chote cha urafiki na uchumba walikaa kimya wakisubiri siku ya fungate?