Possibles
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 1,898
- 2,335
Kutokana na tatizo linalowakumba wanaume la kupungukiwa nguvu za kiume nilisikia maoni ya watu mbalimbali kupitia chombo kimojawapo cha habari.Baadhi walisema wanaume waliotahiriwa kijadi(porini bila ganzi) wako na nguvu za kutosha ila tatizo ni kubwa kwa waliotahiriwa kisasa(hospitali kwa ganzi).Je suala hili lina ukweli?Je wanaume mna maoni gani(maana mnajijua mlikotahiriwa na nguvu mlizonazo)Pia kwa wanawake mnalionaje hili hasa mkipima nguvu za wenza wenu kulinganisha na mahali walipofanyiwa tohara!?