Kuna ukweli wowote? Kuhusu maji ya baridi?

Neanne

Member
Apr 23, 2013
24
5
Habari wanajamvini?

Ni kweli kuwa mwanamke akinywa maji ya baridi baada ya tendo la ndoa siku ya hatari hatashika mimba?

Asanteni
 
na ukinywa ya moto kabisa right out f the cattle na kumagilizia nusu yake kwenye nanihii haupati ukimwi.
Source King'asti na collabo ya Hon Zuma, President of SA
 
Last edited by a moderator:
Maji tu hata Bia au soda mbona Mabaamedi wangefurahi maana walevi wasingepata mimba, na Guest zisingewekewa Condom ila maji Uhai au Kilimanjaro kusaidia mimba zisizotakikana
 
Back
Top Bottom