hakuna madhara yoyote .. Jamani watanzania kwa nini wanakuwa na mambo ya ajabu hivi? Kuna mwingine leo alikuja na uzi kusema kuwa kukaa na simu mda mrefu eti ina madhara.sijui nani anawadanganya haya mambo
Umefanya utafiti au unalopoka?
analopoka tu huyo. pengine hajui hata nini maana ya utafiti.
Pia ieleweke kuwa hii Technology aina ata miaka 20,so madhara mengi bado sana kujulikana na wanadamu.lakini wapo wengi wameadhirika.Jua pia makampuni makubwa huwa yana toaga rushwa kwa watafiti wa mambo kama haya wawe wapole.aiingii akilini mawimbi ya simu yanapita mpaka katika kuta za nyumba lakini zisipitilize kwenye ubongo wa binadamu.
Du.... mtu waweza pashika moto hivihivi!!!!!!!!!!!!!Yes kuna ukweli katika hilo.ila unakuwa kwenye risk zaidi hukiwa usawa wa zile antena zake.so kwa mafundi wa minara ndo wapo na hatari zaidi,Minara ya simu inatoa na kupokea Microwave signals.Microwave hizi ambazo tunapashia Vyakula majumbani.so some how kuna danger kwa binadamu
Mwenye uwakika a2pe mana 2naangamia mie hapa chini ya mnara
wazungu walikuwa na haya matechlnogy kwa mda tu nyie wamatumbi mmeletewa simu juzi juzi tu hata miaka 10 haijaisha basi mmeshaanza visa hamzitaki. Kama zingekuwa zinaua si wangeshakufa wazungu wote.. Watu mnakufa kwa sababu ya utawala batili na ccm yenu mbovu mnayoichagua kila siku. TBS imechafuka mnaingiziwa bluband na matairi mambovu. Na simu za kichina kibao.nyie ndio wa kulaumiwa
Kwa kifupi antenna za minara ya simu inatoa mionzi inayoitwa 'non ionizing radiations" tofauti na x ray ambayo inatoa ioninzing radiation. madhara unayoweza kuyapata ni kupanda kwa joto mwili kidogo kama ukisogea karibu na antenna mita 3.