wazungu wanatoka nje na magovi yao sababu kwako yako common,ni kitu cha kawaida....kwetu sababu tunakata wenye kubaki nayo hawana confidence ya kuyaonyesha so inawezekana wasiende nje ya ndoa...kuna kaukweli fulani....!
wazungu wanatoka nje na magovi yao sababu kwako yako common,ni kitu cha kawaida....kwetu sababu tunakata wenye kubaki nayo hawana confidence ya kuyaonyesha so inawezekana wasiende nje ya ndoa...kuna kaukweli fulani....!
Mh! Kama kuna kaukweli flani hivi.wazungu wanatoka nje na magovi yao sababu kwako yako common,ni kitu cha kawaida....kwetu sababu tunakata wenye kubaki nayo hawana confidence ya kuyaonyesha so inawezekana wasiende nje ya ndoa...kuna kaukweli fulani....!
HALAFU? huu mjadala mbona unarudirudi kinamnanamna?
...Tena ukikutana na hawa wadada wa mjini siku hizi ndio akukute una hilo govi lazima kesho yake utaikuta kwenye Kiu au Ijumaa Kumbe nanihino yule ana mkono wa sweta!!!!Lakini hoja ya Rocelyne 1 ina ka ukweli ndani yake. wasiotahiriwa hawana ubavu wa kuyaonyesha kila mahali hasa wanapoishinsehemu ambazo tohara ni lazima
..Unajua lazima kuna watu fulani wanayafurahia hayo na wanawa-encourage wasiyatoe so ni ngumu sana wao kuyatoa, believe me!jamani hawa wanaume si waende tu wakayatoe hayo madude!