Kuna uhusiano wowote wa IQ ya mtu na uwezo wa kukumbuka au kusahau vitu au matukio?

House of Commons

JF-Expert Member
Oct 1, 2013
2,076
1,991
Napenda kuleta mjadala huu kwenu GTs, katika level zote nilizowahi kusoma, nilikutana na course ya psychology kwenye level ya Diploma na First degree, kwa bahati mbaya sikuona topic iliozungumzia 'Forgeting...' Kwa siku za hivi karibuni nimeona tatizo la kusahau linawaathiri watu wengi. Najiuliza maswali haya

1. IQ ya mtu ina uhusiano na uwezo wa kusahau au kukumbuka vitu au matukio?

2. Mbona tatizo la kusahau haliko kwenye kundi la magonjwa ya binadamu?

3. Tatizo la kusahau kwa binadamu kwa nini hukua kadri mtu anapokuwa mzee?

4. Mbona watafiti huwa hawashughuliki na tatizo hili kuona madhara au faida yake kwa watu na jamii nzima?

5. Je usahaulifu ni Tabia au si tabia?
 
Amnesia - loss of memory sometimes including the memory of personal identity due to brain injury, shock, fatigue, repression, or illness or sometimes induced by anesthesia (this is according to Webster Dictionary)

Mtazamo wangu ni tofauti kidogo, hapa naona inaeleza kusahau kunakosababishwa na matatizo mengine. Wapo watu, hata mimi pia ni msahaulifu sana sana tu kiasi kwamba nimeshaingia gharama na kuwaingiza watu wengine gharama kwa sababu ya kusahau lakini usahaulifu wangu hausababishwi na tafsiri hiyo hapo juu. I think we have to sick more ideas

Ni ugonjwa wa kusahau
 
Una uhakika hauna stress?inaweza kusababisha usahaulifu kama zamani haukua hivyo;kuhusu IQ kuwa ndogo na usahaulifu hilo halina ubishi ndio maana vipanga wengi wana IQ kubwa na huwa wana kumbukumvu balaa
 
I support this point in colour below. we can underline it, but are there any scientific explanations that can provide with us clear justifications?

Una uhakika hauna stress?inaweza kusababisha usahaulifu kama zamani haukua hivyo;kuhusu IQ kuwa ndogo na usahaulifu hilo halina ubishi ndio maana vipanga wengi wana IQ kubwa na huwa wana kumbukumvu balaa
 
Napenda kuleta mjadala huu kwenu GTs, katika level zote nilizowahi kusoma, nilikutana na course ya psychology kwenye level ya Diploma na First degree, kwa bahati mbaya sikuona topic iliozungumzia 'Forgeting...' Kwa siku za hivi karibuni nimeona tatizo la kusahau linawaathiri watu wengi. Najiuliza maswali haya

1. IQ ya mtu ina uhusiano na uwezo wa kusahau au kukumbuka vitu au matukio?

2. Mbona tatizo la kusahau haliko kwenye kundi la magonjwa ya binadamu?

3. Tatizo la kusahau kwa binadamu kwa nini hukua kadri mtu anapokuwa mzee?

4. Mbona watafiti huwa hawashughuliki na tatizo hili kuona madhara au faida yake kwa watu na jamii nzima?

5. Je usahaulifu ni Tabia au si tabia?
Basically huwa hatusahau vitu bali vinakuwa stored somewhere . NA tufautiana uwezo wa kuviretrieve. Mtu mwenye IQ kubwa anaweza aka retrieve from different memory location kwa haraka na kuweza kupima kama vile vitu vina uhusiano ama la. IQ yako ita determine how fast unaweza ku access different memory locations na ku make sense kuhusu vitu. Kwa mtazamo wangu ni kwamba mtu amabaye tunasema amesahau ni kwamba kile kitu kipo lakini hana uwezo wa ku ki retrive kwa haraka. Nakupa mfano mdogo. Unaweza ukawa kuna mtu ulimuona miaka 20 iliyopita halafu kwenye kumbu kumbu zako akawa kama hayupo. Siku unaweza ukakutana na mtu anafanana na mtu yule ukakumbuka everything about mtu uliyemuona miaka ishirini. KWa hiyo kilichotokea pale yule mtu uliyemuona amekuwa ni kama trigger ya kumbukumbu iliyopo kwenye ubongo . Nyingine ni hii ushakumbana na situation kwamba umemuona mtu lakini hukumbuki ulimuona wapi? Hii inamaana umeweza kuaccess imagery pekee na meta data inayohusiana na hiyo picha umeshindwa kui retrieve umeshindwa Hili somo inabidi tulifungulie thread kule kwenye jamii intelligence..
 
Modern lifestyle (matumizi ya calculators,computers,simu za mkononi,ambazo hufanya kazi mahali pa ubongo) na stress zinazosababishwa na hali ngumu ya maisha ni janga kuu linalosababisha hii hali.
 
Basically huwa hatusahau vitu bali vinakuwa stored somewhere . NA tufautiana uwezo wa kuviretrieve. Mtu mwenye IQ kubwa anaweza aka retireve from different memory location kwa haraka na kuweza kupima kama vile vitu vina uhusiano ama la. IQ yako ita determine how fast unaweza ku access different memory locations na ku make sense kuhusu vitu. Kwa mtazamo wangu ni kwamba mtu amabaye tunasema amesahau ni kwamba kile kitu kipo lakini hana uwezo wa ku ki retrive kwa haraka. Nakupa mfano mdogo. Unaweza ukawa kuna mtu ulimuona miaka 20 iliyopita halafu kwenye kumbu kumbu zako akawa kama hayupo. Siku unaweza ukakutana na mtu anafanana na mtu yule ukakumbuka everything about mtu uliyemuona miaka ishirini. KWa hiyo kilichotokea pale yule mtu uliyemuona amekuwa ni kama trigger ya kumbukumbu iliyopo kwenye ubongo . Nyingine ni hii ushakumbana na situation kwamba umemuona mtu lakini hukumbuki ulimuona wapi? Hili somo inabidi tulifungulie thread kule kwenye jamii intelligence..
Well explained.
 
Thank you Freelancer, good idea, unaweza ukaona hapa tatizo la usahaulifu halijaandikwa sana na wataalam wa psycholojia na watafiti mbalimbali. what complexities are there so far?....is forgetting a behavior or disease? Do you have an idea on this?
Basically huwa hatusahau vitu bali vinakuwa stored somewhere . NA tufautiana uwezo wa kuviretrieve. Mtu mwenye IQ kubwa anaweza aka retireve from different memory location kwa haraka na kuweza kupima kama vile vitu vina uhusiano ama la. IQ yako ita determine how fast unaweza ku access different memory locations na ku make sense kuhusu vitu. Kwa mtazamo wangu ni kwamba mtu amabaye tunasema amesahau ni kwamba kile kitu kipo lakini hana uwezo wa ku ki retrive kwa haraka. Nakupa mfano mdogo. Unaweza ukawa kuna mtu ulimuona miaka 20 iliyopita halafu kwenye kumbu kumbu zako akawa kama hayupo. Siku unaweza ukakutana na mtu anafanana na mtu yule ukakumbuka everything about mtu uliyemuona miaka ishirini. KWa hiyo kilichotokea pale yule mtu uilyemuona amekuwa ni kama trigger ya kumbukumbu iliyopo kwenye ubongo .Hili somo inabdi tulifungulie thread kule kwenye jamii intelligence..
 
Nani anajua kupima IQ anifunze hapa
Nafikiri zipo self- assesment tools nyingi online kama za IQ, personality, na kadhalika... Maswali ya kwenye hizo tools ni based na theoretical work. Of course theory zinakuwa refined kila siku ili kuengeza reliability ya hizo test...
 
Back
Top Bottom