ngwana ongwa doi
Member
- Dec 26, 2011
- 74
- 26
Apandacho mtu ndicho atakachovuna ukipanda uharibifu utavuna uharibifu,ukichakachua wake wa wenzio na wa kwako atachakachuliwa tu,ukiharibu nyumba ya mwenzio na ya kwako itaharibiwa.Ogopa mke wa mtu/mme wa mtu kama ukoma.
Aziniye na mwanamke/mme hana akili kabisa naye ajiletea uharibifu.
Aziniye na mwanamke/mme hana akili kabisa naye ajiletea uharibifu.