Kuna uhusiano wowote kwenye hili???

Apandacho mtu ndicho atakachovuna ukipanda uharibifu utavuna uharibifu,ukichakachua wake wa wenzio na wa kwako atachakachuliwa tu,ukiharibu nyumba ya mwenzio na ya kwako itaharibiwa.Ogopa mke wa mtu/mme wa mtu kama ukoma.
Aziniye na mwanamke/mme hana akili kabisa naye ajiletea uharibifu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom