Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Mm ni mpenzi mkubwa sana wa muziki wa hip hop. Nilianza kuipenda hip hop enzi hizo za akina marehemu TUpac... Hata ilipokuja kuwa kwamba HIp hop inaimbwa hapa TZ niliipenda zaidi na. Nikiri nina urafiki na wasanii wengi wa HIp hop hapa nyumbani. Ila nilichogundua wengi wao wanavuta sana bangi.. Swali ninalojiuliza kichwani.
Hv ukiimba HIp Hop lazima uvute Bangi?
Hv ukiimba HIp Hop lazima uvute Bangi?