Kuna uhalali wowote kuchangia ujenzi wa shule za kata?

Shapu

JF-Expert Member
Jan 17, 2008
2,111
790
Ni asubuhi yapata saa 12.25 nimejipumzisha nyumbani mara nasikia hodi, kutoka nje ni kundi la watu wapatao 11 miongoni mwao yuko katibu,mkit,balozi etc wakijitambulisha kwao kwamba ni serikali ya mtaa.

Wakaniambia natakiwa kuchangia sh 40,000/ kwa ajili ya ujenzi!

Tukawa na malumbano ya hapa na pale lakini swala langu la msingi ni kwamba ninalipa kodi nyingi sana ambayo nilitegemea ndo ingekwenda kwenye hizo jenzi za shule.

Zaidi nilitaka kujua kama kuna sheria/kanuni au chochote kinachotambulika na nchi kinachomtaka mtu achangishwe tu sehemu yeyote atakapokuwa hata kama si mwenyeji yaani ni mpangaji wa eneo hilo. Wanasheria au mtu yeyote naomba mnijuze.

Na je hii style ya kuchangisha ni acceptable? Inatambulika? Je ni nini haki yangu au haki ya hiyo serikali ya mtaa katika hili.

Tafadhali naomba mwenye uelewa anielimishe maana niliwatoa mkuku sana hao jamaa ila nataka nijue kama nilikuwa right or wrong kwani mimi najua serikali inahitaji kodi yangu tuu otherwise ingeniambia kupitia sheria mbalimbli ili nijipange sio mtu tu kuniibukia at anytime.
 
inamaana hii isue haijawatokea watu hapa nini? Au nilitaka tapeliwa?
 
Kwanza hizi shule za kata ni hatari sana kwa mshikamano wa taifa. Ukiongezea na issue ya majimbo, na utete katika suala la muungano, nahisi yaliyotokea USSR yatatokea Tanzania ingawa itakuwa kwa aina tofauti.
 
Pole hii haijawai kutokea kwangu. Ni kwamba ilianzishwa na Kandoro, ilikuwa tukatwe kabisa sijui kwenye mishahara au nyumba kwa nyumba ila ilipingwa vikali na kuamriwa kuwa ni hiari nadhani. Sasa kama imerudi ki mtaa au ki kata fulani nadhani ni maamuzi ya wakazi wa hapo. Jaribu kushiriki au hata kuuliza kwa majirani nini kinaendelea maana huwa hawachagui wala kujua we ni mmiliki au mpangaji mradi we ni mkaazi wa hapo. Serikali za mitaa wana mambo mengine ya kipuuzi mradi ana stakabadhi anakupa usichangie tu ovyo labda kama umependa mwenyewe.
 
Pole hii haijawai kutokea kwangu. Ni kwamba ilianzishwa na Kandoro, ilikuwa tukatwe kabisa sijui kwenye mishahara au nyumba kwa nyumba ila ilipingwa vikali na kuamriwa kuwa ni hiari nadhani. Sasa kama imerudi ki mtaa au ki kata fulani nadhani ni maamuzi ya wakazi wa hapo. Jaribu kushiriki au hata kuuliza kwa majirani nini kinaendelea maana huwa hawachagui wala kujua we ni mmiliki au mpangaji mradi we ni mkaazi wa hapo. Serikali za mitaa wana mambo mengine ya kipuuzi mradi ana stakabadhi anakupa usichangie tu ovyo labda kama umependa mwenyewe.

Mama Joe, Nashukuru. Ila mimi nataka kujua huo ni utaratibu wa nchi/mkoa au wilaya. Kama kuna tangazo maalumu au vipi. Kwa kuwa mbali na kuwatimua nyumbani kwangu nataka niende kuwatafuta niwape shule zaidi. So nataka kupata details kama hii isue ni halali au ndo kuzugana tu mtaani.
 
Mama Joe, Nashukuru. Ila mimi nataka kujua huo ni utaratibu wa nchi/mkoa au wilaya. Kama kuna tangazo maalumu au vipi. Kwa kuwa mbali na kuwatimua nyumbani kwangu nataka niende kuwatafuta niwape shule zaidi. So nataka kupata details kama hii isue ni halali au ndo kuzugana tu mtaani.

Weeeeeee kijana acha politiki....changia fasta tupunguze vibaka street.......!

On serious note, michango ya maendeleo kwa serikali za mitaa, kama haijaorodheshwa kny sheria fedha ya serikali za mitaa ya mwaka 1982 (Local Government Finance Act 1982) uchangiaji wake unakuwa wa hiari...sio lazima.......! So unaweza changia au usiachangie kabisa......ila usipochangia, tatizo litakuja kny siasa za hapo mtaani zinaweza kukuwea ngumu.....kama unanisoma vyema.....!
 
Weeeeeee kijana acha politiki....changia fasta tupunguze vibaka street.......!

On serious note, michango ya maendeleo kwa serikali za mitaa, kama haijaorodheshwa kny sheria fedha ya serikali za mitaa ya mwaka 1982 (Local Government Finance Act 1982) uchangiaji wake unakuwa wa hiari...sio lazima.......! So unaweza changia au usiachangie kabisa......ila usipochangia, tatizo litakuja kny siasa za hapo mtaani zinaweza kukuwea ngumu.....kama unanisoma vyema.....!

Ok umenifumbua macho kidogo... Ngoja nitafute hiyo act niende nayo.

By the way SIHITAJI Kabisa hizo siasa za hapo mtaani kwani kuna siku waliniletea kadi ya chama fulani nikatimuana nao vibaya...you know me!!!

Hebu kwanza fafanua hapa "siasa za hapo mtaani zinaweza kukuwea ngumu" manake this year mimi na wao wamezoea kunyanyasa wananchi.

You know kwa nini nimekuja front kwenye hili...kuna sehemu nilikuwa awali wakaja na michango ya namna hii nikachanga 20K then nikaja pata habari ile michango ililiwa yote and nothing went on. So hili linanikera sana that why niko mbogo.
 
Ok umenifumbua macho kidogo... Ngoja nitafute hiyo act niende nayo.

By the way SIHITAJI Kabisa hizo siasa za hapo mtaani kwani kuna siku waliniletea kadi ya chama fulani nikatimuana nao vibaya...you know me!!!

Hebu kwanza fafanua hapa "siasa za hapo mtaani zinaweza kukuwea ngumu" manake this year mimi na wao wamezoea kunyanyasa wananchi.

You know kwa nini nimekuja front kwenye hili...kuna sehemu nilikuwa awali wakaja na michango ya namna hii nikachanga 20K then nikaja pata habari ile michango ililiwa yote and nothing went on. So hili linanikera sana that why niko mbogo.

He!he!he!he!he!eee......kijana wacha hizo......watakusulubu ''in kind'' umeona Jerry Muro anachofanyiwa heeeee......!

Ok ukiingia web ya bunge taiona hiyo kitu! But kijana siasa za mtaani.....has to do with the likes of....vidogo hapo hm vimeingia mtaani, vikakanyaga nyanya za watu or mzee maji yamekatika hm, no way out lazima umcheki balozi......? vibaka wamekuingilia naiti kali.....balozi ndo the only person to rescue.....?bahati mbaya ukiwa unawahi ofcn na vogue lako, oops unamparua mwenda kwa miguu.........! unatamani kieneo fulani hapo ambapo unaweza vurumsha kinjenge fulani, ukaweka hotel or shule etc....bt lazima serikali za mitaa wahusike.......! unanisoma kijana?

Do you know why rich people huwa wanachangia CCM au kugombea ubunge huko?.....just to protect their interests basi!
 
He!he!he!he!he!eee......kijana wacha hizo......watakusulubu ''in kind'' umeona Jerry Muro anachofanyiwa heeeee......!

Ok ukiingia web ya bunge taiona hiyo kitu! But kijana siasa za mtaani.....has to do with the likes of....vidogo hapo hm vimeingia mtaani, vikakanyaga nyanya za watu or mzee maji yamekatika hm, no way out lazima umcheki balozi......? vibaka wamekuingilia naiti kali.....balozi ndo the only person to rescue.....?bahati mbaya ukiwa unawahi ofcn na vogue lako, oops unamparua mwenda kwa miguu.........! unatamani kieneo fulani hapo ambapo unaweza vurumsha kinjenge fulani, ukaweka hotel or shule etc....bt lazima serikali za mitaa wahusike.......! unanisoma kijana?

Do you know why rich people huwa wanachangia CCM au kugombea ubunge huko?.....just to protect their interests basi!

Nimekupa vizuri mkuu... Actually nimeshanyaka some documents lazima niwape shule kwanza.

Ofcoz najua hizo vitu za kids, vibaka etc najua ndo system zetu mbovu za maisha zilizojengeka kwanye mitaa yetu. Anyways my aim is to be an agent of change be it small or what i need to get them learn.

Najua i have less than 3months to stay there. So it is very important i teach this lesson.
 
Nimekupa vizuri mkuu... Actually nimeshanyaka some documents lazima niwape shule kwanza.

Ofcoz najua hizo vitu za kids, vibaka etc najua ndo system zetu mbovu za maisha zilizojengeka kwanye mitaa yetu. Anyways my aim is to be an agent of change be it small or what i need to get them learn.

He!he!he!he!...hivyo vizee ni pasua vichwa, huwa havielewi somo.....coz vinanjaa, so vitakuelewa tu, vikishibishwa mzee......!

Najua i have less than 3months to stay there.

Whaaaaaaaaaaaat?.......Msaada tutani please......more clarification!!!
 
The Local Government (District Authorities) Act No. 7 of 1982 established the local government district authorities in rural areas, and the Local Government (Urban Authorities) Act No. 8 of 1982 established the local government urban authorities. The district authorities include district councils, village councils, and township authorities, vitongoji, and Ward Development Committees. All of them except the vitongoji and Ward Development Committees have powers to make by-laws, pass annual budgets and tax according to regulations within their area of jurisdiction.

The urban authorities consist of city, municipal and town councils (often referred to as urban councils), and mtaas. The urban councils have powers to make by-laws, pass annual budgets and tax according to regulations within their area of jurisdiction. The areas of jurisdiction of the urban councils are divided into divisions, and the divisions are divided into wards. The each ward consists of mtaas, which can be described as neighbourhood committees with elected members, but with only administrative functions. Some urban councils have also villages in their area of jurisdiction.
 
Whaaaaaaaaaaaat?.......Msaada tutani please......more clarification!!!

Haaaa... Infwakt to put it very precise less than a month!!!

Kijana usifikiri mapambano yamekwisha. Ulinipa dokezo kuhusu ile yale mambo yako lakini hukunipa details, hata mimi mambo yangu nayo si kwamba hayaendi....habari ndo hiyo...

Haaa....halafu hizi simu ya usiku wa manane!!!!??? Tehe teheeee...

Hutaweza kuniacha kitonga wakati woto na kwa vitu vyote...heeeee...
 
The Local Government (District Authorities) Act No. 7 of 1982 established the local government district authorities in rural areas, and the Local Government (Urban Authorities) Act No. 8 of 1982 established the local government urban authorities. The district authorities include district councils, village councils, and township authorities, vitongoji, and Ward Development Committees. All of them except the vitongoji and Ward Development Committees have powers to make by-laws, pass annual budgets and tax according to regulations within their area of jurisdiction.

The urban authorities consist of city, municipal and town councils (often referred to as urban councils), and mtaas. The urban councils have powers to make by-laws, pass annual budgets and tax according to regulations within their area of jurisdiction. The areas of jurisdiction of the urban councils are divided into divisions, and the divisions are divided into wards. The each ward consists of mtaas, which can be described as neighbourhood committees with elected members, but with only administrative functions. Some urban councils have also villages in their area of jurisdiction.

Sasa hapo inabidi wakupe sheria yao ndogo inayowaruhusu kuchangisha hiyo michango kwa wakazi.......!

Whaaaaaaaaaaaat?.......Msaada tutani please......more clarification!!!

Nasubiri clarification...usijikaushe kijanaaaaaa!
 
Haaaa... Infwakt to put it very precise less than a month!!!

Kijana usifikiri mapambano yamekwisha. Ulinipa dokezo kuhusu ile yale mambo yako lakini hukunipa details, hata mimi mambo yangu nayo si kwamba hayaendi....habari ndo hiyo...

Haaa....halafu hizi simu ya usiku wa manane!!!!??? Tehe teheeee...

Hutaweza kuniacha kitonga wakati woto na kwa vitu vyote...heeeee...

He!he!heheheeeeeeeh! ningekuwa na simu za hao viongozi, ngewapigia wakukamate sawasawa kabla yujasepa.......!teheheheeeeeee!! Kijana hutishiwi nyau kabisa? eeeeeh? unaogopa sana kuachwa kitonga ww.....!!!!

Nasubiri clarification...usijikaushe kijanaaaaaa!
Further clarification needed though.......!
 
tulia kijana nitakupa updates...

........please kabla sijakuitia kelele za ''mwizi, mwizi''......ha!hahahahaha!.....vijana naona utulivu zero kabisa.....! anyway michapano huku ni mikali sana,ila tu ushindi on my side unakuwa wakuvizia sana aisee....lkn naangalia huu mwaka unavyokujakuja....anything can happen as usual! ha!hahahahaha!
 
Hii nayo nitaitumia:
"
The most important, intended links between the local government and the residents of the given area are the Vitongojis in the rural areas and the urban Mtaa committees, which are designed to mobilise citizen participation in local development. "Priorities for local service delivery and development projects are brought to the Mtaa committees for discussion before being forwarded to the Ward Development Committee (WDC). In the rural system proposals reach the WDC via the village council."

In addition to the above, citizen participation in the local government decision-making is encouraged by the amendments to the Local Government (District Authorities) Act 1982, which provide for Councils to organise public hearings for people to question political leaders and staff. Councils have also been empowered to establish special kinds of service boards, open to all citizens in the area and providing an opportunity to influence service provision.

Participatory budget-making has also become a mean to increase resident participation. It is currently enabled by the bottom-up budgeting through the ward development committees and the democratic structures above them. "
 
Back
Top Bottom