K KANGALA Member May 5, 2011 8 0 May 9, 2011 #1 Inasikitisha sana serikali kuwapandisha cheo baadhi ya watumishi wake na kuchelewa kuwarekebishia mshahara wao kwa zaidi ya miaka mitatu. Hivi kuna mantiki gani kumpandisha cheo mtumishi iwapo anendelea kulipwa mshahara ambao hauendani na cheo hicho.
Inasikitisha sana serikali kuwapandisha cheo baadhi ya watumishi wake na kuchelewa kuwarekebishia mshahara wao kwa zaidi ya miaka mitatu. Hivi kuna mantiki gani kumpandisha cheo mtumishi iwapo anendelea kulipwa mshahara ambao hauendani na cheo hicho.
T tusichoke JF-Expert Member Apr 2, 2011 1,316 216 May 9, 2011 #2 Wanapandisha ili kujiosha ili wakiulizwa wanasema wanajali watumishi kumbe hawana bajeti ya kuwarekebishia mishahara
Wanapandisha ili kujiosha ili wakiulizwa wanasema wanajali watumishi kumbe hawana bajeti ya kuwarekebishia mishahara