Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
mi bikra hayo sijui bana.........................
Ukiolewa utayajua haya wapi kwa kukatia kiu...
fikiria kila siku mmeo anarudi anakupa mgongo anasema amechoka kazini kulikuwa na kazi nyingi
mi bikra hayo sijui bana.........................
mi bikra hayo sijui bana.........................
nimekuchukia ghafla....kwani unayolalanayo hapo hiyo ndoa? Wee vp?
nani huyo unamwambia?Wewe hupendi kutongozwa na waume za watu ni kwasababu hujui faida zake, hao bf wenu ambao ni single wengine wengi upokuwanae hujui yupo wapi. Kumbe pengine anakwenda kwa demu wake mwengine na wewe unajihisi upo peke uko, niliwahi kukutana na demu m1 uk yupo masomoni aliwahi kuniambia baada ya kuumizwa sana na wanaume sasa anapenda awe na mahusiano na mume Wa mtu sababu moyo wake utapoa Wakati hayupo ma mpenzi
Wewe hupendi kutongozwa na waume za watu ni kwasababu hujui faida zake, hao bf wenu ambao ni single wengine wengi upokuwanae hujui yupo wapi. Kumbe pengine anakwenda kwa demu wake mwengine na wewe unajihisi upo peke uko, niliwahi kukutana na demu m1 uk yupo masomoni aliwahi kuniambia baada ya kuumizwa sana na wanaume sasa anapenda awe na mahusiano na mume Wa mtu sababu moyo wake utapoa Wakati hayupo ma mpenzi
Sikumpata kwasababu sikumtonhozaKwa hiyo ulimpata wewe ni mme wa mtu?
nani huyo unamwambia?
so wataka nitembee na waume za watu mkuuNakwmbia wewe smile
so wataka nitembee na waume za watu mkuu
urijali wa mwanaume ni nini mkuu hebu niambie
nipo hosptal hapa kuna mkaka anadeki hapa akinitongoza?????????...........
mmmh mi sijui
raha ya kutongozwa inategemea na mtongozaji bwana......
Sio unatongozwa na waume za watu.makonda,watoto wadogo ... Wacongo....mapadre ufurahie...
Mimi kwangu inategemea ananitongoza nani....
Kiukweli kuna magroup huwa sipendi wanitongoze especially waume za watu ...kweli nachukia tongozo zao toka moyoni kabisa
huwa naumwa kabisa ...kabisa...
Sasa utampata wapi ambaye siye mume wa mtu? Labda uende clinic usubirie kazaliwe katoto ka kiume ufanye booking, vinginevyo utaishia kula makombo ya wengine tu utake usitake.je wazee wauza kahawa na mashoe shaini.... unaweza ukarudi bafuni kuoga tena ...
mume wa mtu wa nini sasa?
Smile unadharau mbaya, omba Mungu yasikukute kwa kwelije wazee wauza kahawa na mashoe shaini.... unaweza ukarudi bafuni kuoga tena ...
mume wa mtu wa nini sasa?
so wataka nitembee na waume za watu mkuu
decision au upuuzi tu maamuzi ya kijinga kabisa kusex na limume la mtu ....