nonino
Member
- Apr 11, 2012
- 32
- 12
Nilihudhuria semina ya vijana kuhusu mahusiano na ndoa kanisani kwetu,mwezeshaji katika kufundisha akaongela issue ya mdada mmoja ameolewa,lakini anasema yeye anapenda sana kutongozwa na wanaume sio kwamba anawakubalia ili anajisikia raha wanaume wanapomfata na kumtongoza,akikaa wiki hajatokea mtu wa kumtongoza anajihisi kama mgonjwa,mara nyingine kama hajatongozwa huamua kuwatega wanaumume kwa makusudi kabisa ili wamtongoze tu.Haya mliooa muwa mnaendelea kuwatongoza wake zenu ndani ya ndoa,wengine kumbe ndio ugonjwa wao.