Kuna Ubaya Wowote?..

Kila mwanamke ana definition yake ya mwanamme kulingana na matarajio yake kwa mumewe/mwenza.
Kama mtu anakidhi vipimo vya kwa tafsiri yangu ya mwanamme, anapewa usukani freely.

Ila kwa tafsiri yangu ya mzee mvulana hawezi pewa usukani hata awe na miaka 100.

Kila mtu ana standard yake ya mwanamme.

Utajuaje kama siyo mvulana?

Kuna wengine wanabaki kuwa wavulana hadi siku ya kusindikizwa makaburini!!

Babu DC!!!
 
Hata mimi nataka kujaribu hiyo kitu.

Sema sasa it only pays if that fellow is a real man, kama ni mwanaune suruali au "A boy in a grown man pants"(As I call them) kinda man imekula kwako maana he'll not treat you as a lady, he'll not respect you na hatokua responsible. Mwisho wake ndo kuanza kulalama anakuonea, anakutumia, hakupendi, hakujali, anakunyanyasa n.k

Hivyo kabla ya kumpa usukani hakikisha kua ni dereva anaeielewa vizuri hiyo taaluma, usije ukaishia kuendeshwa kama bajaj za Dasilama.

He he he he dearest....tuna changamoto kubwa sana wakati huu, uwajibikaji wa wanaume umepungua ndo maana usukani na taaluma hiyo inaendeshwa na wanawake kwenye baadhi ya ndoa.
 
Wapendwa

Heri ya Pasaka, poleni kwa msiba wa Kanumba, surely he will be missed.

Ninaomba kuuliza....... kuna ubaya wowote kwa karne ya sasa kumpenda mtu kwa kumpa nafasi aitegemeayo kwenye mahusiano? Mf. Mwanaume (Kibantu) yeye anategemewa kuwa kichwa cha nyumba, nikimpenda Laaziz wangu katika mazingira hayo ya kumwacha awe kichwa cha nyumba kuna ubaya?

Mi cjui nimechanganyikiwa? Nisaidieni ninawaomba!

MJ1 hii post umendika saa 00:14 du hivi ndo ulikuwa unazidi kuchanganyikiwa ?

Ni jambo jema na la hekima kumpa mwanaume heshima yake kama kichwa cha familia..na heshima iwepo kati ya wote wawili
 
Utapata returns nzuri sana ukimpa mwanaume nafasi yake.
Wishes za wanaume wote wa Kibantu ni kutambuliwa nafasi yao ya kibesi wa nyumba..huh!

...dahhh, ni ukweli 'unaouma'....naomba niseme, "final say" kutokana na
mila za kibantu zinanitaka hata mie Mbu kusema "mke wangu ndivyo alivyoamua!"

Mhhhh,

Mzima lakini wewe?

Kama hutajali hata ukifanywa msukule basi mpe kila kitu...Hata cheque books and ATM cards zote mupe tu dada yangu!!

Kipenda roho ....!!

Babu DC!!

...lol, ati msukule...ha haha....yaani Mwj1 akipenda hata 'limbwata' anajinywesha
mwenyewe ee? Maandiko yako too sarcastic bana

Wakati huo wewe utakuwa na access na kila kitu chake au unakuwa chuma ulete??

Babu DC!!

...khaa, DC dnt be too pessimistic bana....lol

Hata mimi nataka kujaribu hiyo kitu.

Sema sasa it only pays if that fellow is a real man, kama ni mwanaune suruali au "A boy in a grown man pants"(As I call them) kinda man imekula kwako maana he'll not treat you as a lady, he'll not respect you na hatokua responsible. Mwisho wake ndo kuanza kulalama anakuonea, anakutumia, hakupendi, hakujali, anakunyanyasa n.k

Hivyo kabla ya kumpa usukani hakikisha kua ni dereva anaeielewa vizuri hiyo taaluma, usije ukaishia kuendeshwa kama bajaj za Dasilama.

....unataka kujaribu? Utanogewa halafu uje kutusumbua hapa...lol

Kila mwanamke ana definition yake ya mwanamme kulingana na matarajio yake kwa mumewe/mwenza.
Kama mtu anakidhi vipimo vya kwa tafsiri yangu ya mwanamme, anapewa usukani freely.

Ila kwa tafsiri yangu ya mzee mvulana hawezi pewa usukani hata awe na miaka 100.

Kila mtu ana standard yake ya mwanamme.

....i hope Lizzy amekusoma,"kila mwanamke ana definition yake ya mwanamme kulingana na matarajio yake...!"
 
He he he he dearest....tuna changamoto kubwa sana wakati huu, uwajibikaji wa wanaume umepungua ndo maana usukani na taaluma hiyo inaendeshwa na wanawake kwenye baadhi ya ndoa.

Hehehehe ndio hivyo dearest. . .Wengi wana zile leseni za kupeana mtaani kwahiyo hata sheria hawazifahamu.

OT. .
Nakuona unachungulia chungulia tu. . .kazi nyingi?
 
....unataka kujaribu? Utanogewa halafu uje kutusumbua hapa...lol



....i hope Lizzy amekusoma,"kila mwanamke ana definition yake ya mwanamme kulingana na matarajio yake...!"

Hahahaha sasa Mbu kuna ubaya gani kunogewa na kitu ambacho nnacho na sio chakutafuta? Sindo raha yenyewe hiyo? Maana ntatulia hapo hapo!

Hehehe. . .We umesahau "Gentleman" ehhhhh? Yani nikimaliza uchunguzi na nikawa naona taswira ya ki"Gentleman" mbele yangu namwachia usukani, nashusha kiti cha pembeni, najilaza huku macho nimefumba bila wasiwasi. Kiufupi ntajitoa nione raha yake. Yakinishinda namwambia anishushe fasta. . . .Lolzzz
 
Wakati huo wewe utakuwa na access na kila kitu chake au unakuwa chuma ulete??

Babu DC!!

We Babu hebu punguza maswali ya ukali ah.............. Chuma ulete inakuja pale ambapo kuna mapungufu katika mahusiano lakini iwapo hakuna ....mnapendana kikweli, unaleta yeye anatengenezea familia na kuhandle financial issues vizuri na kunisupport katika utafutaji why should I worry about being chuma ulete?
 
Ni vizuri ukimpa mwanamme nafasi ya kuwa kichwa cha familia au cha mahusiani, lakini kamwe si mvulana.

Kongosho nimekusoma hahaha eti mvulana mwe! Basi nadhani tutakuwa right tukisema nowdays we have more wavulana than wanaume eh?
 
Wapendwa


Ninaomba kuuliza....... kuna ubaya wowote kwa karne ya sasa kumpenda mtu kwa kumpa nafasi aitegemeayo kwenye mahusiano? Mf. Mwanaume (Kibantu) yeye anategemewa kuwa kichwa cha nyumba, nikimpenda Laaziz wangu katika mazingira hayo ya kumwacha awe kichwa cha nyumba kuna ubaya?

Mapenzi ni uvumilivu & compromises..., ni vema to give and take..., sio vibaya kumuacha mume wako kuwa kichwa cha familia sababu wewe utakuwa shingo (what I mean is kushauriana na kuheshimiana) huwezi kukubali kumuacha mtu asiye na busara au hekima awe nahodha wa maisha yenu.., sababu atawapeleka pasipo..

Cha maana kama wewe mke una ushauri mzuri unamshauri cha kufanya kwa mapenzi na hekima (at the end of the day anakubaliana na wewe as if ni idea yake).

Mimi kama mwanaume takuwa chizi kuacha kutumia asset ambayo anayo mke wangu (busara, hekima au chochote...) kwa sababu tu ya ubabe..., in short life ni kushauriana, na compromises, na kama ni kitu ambacho hakina hasara kubwa kwako au kwa familia.., you can let your partner win the small battles so long as it won't cause both of you to loose the war.
 
Hakuna ubaya hata kidogo. Na kwa kufanya hivyo ndo hasa utasomeka wewe ni sehemu ya huyo jamaa katika maisha.
 
mwj1 mi naona kama hamna ubaya sana kwenye hilo....!

lakini sasa naona kama kuna mis-interpretation kwenye hilo swala la kumfanya awe ''kichwa cha familia''....!sana sana hapo ni kumfanya ayatambue majukumu yake pia kama injini ya familia...!na si kumpa atm cad au cheque-book!..katika mahusiano ninayoyafahamu mimi hivyo vitu viwili tajwa hapo juu ambavyo kwa ujumla wake ni pesa visije na havitakiwi kuwa sehemu ya nguzo au mihimili ya mahusiano yenu...!unajua mwj1 hizi fedha tunapokezana tu kama mbio za kijiti...kuna wakati unaweza kuwa nazo kuna wakati anakuwa nazo mwingine...sasa pindi ambapo hizi atm na cheque books vinakuwa nguzo/mhimili wa ''kufikishana huko kunako'' au wereva au ndo vinakuwa viashiria vya mume kuwa kichwa cha familia mara zote huleta tabu sana wakati ile curve inavyofikia turning point na kuanza kurudi chini...!



i mean zipo criterias za mume kuwa kichwa cha familia...ambazo ni nzuri na ni endelevu....!


lakin zaid ya hayo mi naomba tu ''let love lead the way''....

haya maswala haya huwa yanakuwa mazuri sana kama yataenda yenyewe 'naturally'....!


ni hayo tu..


WA AMANI

 
Heri ya pasaka MWJ1,

Wala hakuna ubaya wowote katika hilo,
Na katika kitu hawa waheshimiwa wanapenda ni kupewa nafasi ya kuwa kichwa,
Ila tu heshima na thaman ya nafasi hiyo izingatiwe
Na km atakuwa ni real man Returns yake utataman ungempa nafasi hiyo tangu zaman!

Huwa tunajua kbs ni haki yao ila tu namna mambo yalivobadilika hasa ya kiuchumi na kutotulia kwao inabidi watu tukomae mapaka pale tutapomtambua mtu anaweza na anastahili ndipo tunajiachia.
 
Hahahaha sasa Mbu kuna ubaya gani kunogewa na kitu ambacho nnacho na sio chakutafuta? Sindo raha yenyewe hiyo? Maana ntatulia hapo hapo!

Hehehe. . .We umesahau "Gentleman" ehhhhh? Yani nikimaliza uchunguzi na nikawa naona taswira ya ki"Gentleman" mbele yangu namwachia usukani, nashusha kiti cha pembeni, najilaza huku macho nimefumba bila wasiwasi. Kiufupi ntajitoa nione raha yake. Yakinishinda namwambia anishushe fasta. . . .Lolzzz

Aksante Da mdogo Lizzy hapo hapo umegusa penyewe. Yaani ukipenda ukaona panapendeka unajiachia tu lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom