Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Lakini huyu Kikwete sijui tumemkosea nini sisis wa Tanzania! mtu hana uwezo wowote wa kutuongoza yaani hata watoto wanatambua hilo lakini anang'ang'ania tu...na hila ameisaha fanya sana tu ili awe raisi na aendelee.....
Kikwete tuache bwana, kama ni rekodi ya kuwa raisi kama Nyerere tayari umeipata...wako watu wengi tu wanauwezo wa kutuongoza vizuri na wewe unawajua na unashiriki kuwapiga vita!
Tuache,tuache!
(UWT najua mnasoma sana humu mkamwambie)
Kikwete tuache bwana, kama ni rekodi ya kuwa raisi kama Nyerere tayari umeipata...wako watu wengi tu wanauwezo wa kutuongoza vizuri na wewe unawajua na unashiriki kuwapiga vita!
Tuache,tuache!
(UWT najua mnasoma sana humu mkamwambie)