Kuna ubaya kumpa penzi mama mkwe?

Status
Not open for further replies.
Tayari una guilty mind.Jibu ni hapana lakini kwa namna unavyoongea it as if tayari ushampelekea moto na unatafuta justification tuu.
 
Unajua wengi hapa wana sura za mama wakwe zao kichwani ndio maana wanapinga hii hoja na kusingizia laana etc. Wengi mama wakwe zao wameshazeeka, kwa kifupi hawalipi. Sasa, wao wakiimagine kutembea na hao vikongwe, wanaona haiji, ndio maana kila mtu anasema laana. Kwa kifupi, uzinzi ni uzinzi tu. Ukitembea nje ya ndoa umezini. Haijalishi umezini na nani. Kama mama mkwe analipa, wewe kula, lakini ukijua kabisa kwamba umezini. Na uzinzi ni dhambi!
 
Unajua wengi hapa wana sura za mama wakwe zao kichwani ndio maana wanapinga hii hoja na kusingizia laana etc. Wengi mama wakwe zao wameshazeeka, kwa kifupi hawalipi. Sasa, wao wakiimagine kutembea na hao vikongwe, wanaona haiji, ndio maana kila mtu anasema laana. Kwa kifupi, uzinzi ni uzinzi tu. Ukitembea nje ya ndoa umezini. Haijalishi umezini na nani. Kama mama mkwe analipa, wewe kula, lakini ukijua kabisa kwamba umezini. Na uzinzi ni dhambi!

Ukianza kuhalalisha mambo hivi, hutaishia hapo ndugu yangu Zero...utaendelea hadi kwa dada zako kama wanalipa utasema uzinzi ni uzinzi tu....utafika mpaka kwa mama yako kama bado yupo fit...utasema mbona mbuzi hawana cha mama wala nani ni mchanganyiko tu after all ni uzinzi tu...hutaishia hapo utaenda mpaka kwa binti zako....utadai ni dhambi tu....>! mimi na sema ndiyo, uzinzi ni dhambi lakini unamipaka yake mkubwa!
 
Tofauti kati ya mnyama na binadamu, iko katika uhalifa aliokabidhiwa na Mwenyezi Mungu. Mbuzi, Ng'ombe na hata Kuku, hufanya mapenzi hata na wazazi wao. Lakini, binadamu anajua nani halali yake na nani haramu yake.

Mama Mkwe ni haramu yako. Yeye ni mama wa mkeo, hana tofauti na mama yako mzazi.
Kabla hata hujafikiria suala la wewe kufanya mapenzi na mama mkwe wako, ingefaa ujiulize. Je, unaweza kuridhia mkeo afanye mapenzi na baba yako mzazi?

Binadamu mwenye akili timamu, ana mipaka yake aliyejiwekea. Huwezi kufanya mapenzi na mama, shangazi, dada, shemeji, bintiyo na wala hata na mama mkwe wako. Ni mwiko,
mbele yako, mbele ya jamii, mbele ya serikali na mbele ya Mungu wako kama unaye.
 
Ukianza kuhalalisha mambo hivi, hutaishia hapo ndugu yangu Zero...utaendelea hadi kwa dada zako kama wanalipa utasema uzinzi ni uzinzi tu....utafika mpaka kwa mama yako kama bado yupo fit...utasema mbona mbuzi hawana cha mama wala nani ni mchanganyiko tu after all ni uzinzi tu...hutaishia hapo utaenda mpaka kwa binti zako....utadai ni dhambi tu....>! mimi na sema ndiyo, uzinzi ni dhambi lakini unamipaka yake mkubwa!

wo wo wo wooooooooooooo

Next level! you just dont know how you blew my mind na mbavu zangu... on a serious note nimecheka mpaka naonekana kichaa;

hiyo chronology yako si ya kawa mazee
 
Kuku anataga yai na yai linatotoa kuku. Kuku na yai vyote sawa hivyo kula vyote hakuna ubaya. Bahati kama hizo mbona hazitupati watu kama sisi. Kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
 
Newton 3rd law of motion " at every action, there is equal and oppsite reaction"; Je ktk maisha ya kawaida hay mambo yanawezekana? Pima then amua kwani kupanga ni kuchagua.But keep in mind that sio vyote ving'avyo ni dhahabu.

Ila ungekuwa ni wa jamii ya KIHIMA (watutsi) halafu wewe ukawa mwanamke inawezekana kwani mke mmoja weunu ni mke wa ukoo mzima; hivyo labda ungekuwa unatoka nje kidogo ya utamaduni yaani mume wa mmoja ni mume wa ukoo mzima.Ila kwa wabantu wengi siyo hivyo.

Nakutakia upotofu mwema katika uozo (uozo ndiyo maana halisi ya ufisadi) wako.
 
Semesozi Salut! ni watu wachache ambao wanaweza simama na kusema hiko unachosema wewe ni mgeni, kupinga ni rahisi zaidi. Pamoja na Ugeni wako ninacho kiona unadevelop chemistry na mama mkwe. Chemistry zikisimama hazijalishi ni nani yuko mbele kama mama mkwe, dada, mama, mwanaume mwenzio au mtoto hata kama uzinzi ni uzinzi lakini zipo kesi kibao zinazohusu mambo haya.

Ukimpelekea moto mama mkwe tutakuwa hatuna radhi na wewe, manake mzazi unatengeneza chemistry wakati zikipanda hutaweza zizuia kwanini usikae mbali na mama mkwe. Mbona kabila zingine watu wanakaa mbali na wakwe zao kama Wahaya lakini wewe unagonga na Mama mkwe? sie hatumo bana
 
Jamani msinitoe macho buree, mie mgeni hapa mjini nauliza tu kutaka kujua!!

Hivi kweli mama mkwe (mzaa chema) kila siku anakupigia simu umpitie maskani au saa nyingine kazini na kuuliza viswaviswali tu ili mradi aulize!! Then kila siku anataka mkae "kiwanja" na kupata maji na nyama choma...halafu akipiga ulaji tu basi mama balaaa, maneno yoote yeye, kila dakika anataka "kugonga na wewe"....kah!! washkaji wanajua Shekhe napeleka mbuzi kibla kumbe wala!! Mwenzenu mie mgeni mambo hayo...sasa wanajamii hebu nipeni mawazo, kuna ubaya kama nikimpelekea mama moto??

Mie mgeni njini hapa jamani, inakubalika?

Labda nami nikuulize, kuna ubaya mtu mwingine (mbali ya baba yako) kumpa penzi mama yako mzazi? Jibu lako litanisaidia mimi, labda na wengine kujua la kukushauri.
 
Mwenye mawazo ya kula ma mkwe ni mmoja wa kizazi kilichopotea na chenye laana.Ndicho kiwango cha juu kabisa cha upunguani
 
huitaji kuomba msaada labda kama unataka wa kukuunga mkono ktk hilo ujifariji kijinga!
Utatembea na mama mkwe kweli??Una lana!!??
 
Poleni kwa waliowahi kukutwa na maswaiba kama hayo ya kuonja sehemu aliyopita chema yaani waifu wako. Tunajitafutia laana wenyewe bila kujua. Kwa nini usitosheke na huyo wako. Na ingekuwa ni busara ungeomba ushauri kwanza kwa mkeo halafu ndio upate mawazo yake. Wengine wanalala na mama mkwe kutokana na imani zisizokuwa na mbele wala nyuma ili kupata utajiri. Utajiri ambao mwishoni ni laana. Wengi wamepata utajiri ambao hata ndani hawalali. Tuwe makini na mambo hayo.
 
Unajua wengi hapa wana sura za mama wakwe zao kichwani ndio maana wanapinga hii hoja na kusingizia laana etc. Wengi mama wakwe zao wameshazeeka, kwa kifupi hawalipi. Sasa, wao wakiimagine kutembea na hao vikongwe, wanaona haiji, ndio maana kila mtu anasema laana. Kwa kifupi, uzinzi ni uzinzi tu. Ukitembea nje ya ndoa umezini. Haijalishi umezini na nani. Kama mama mkwe analipa, wewe kula, lakini ukijua kabisa kwamba umezini. Na uzinzi ni dhambi!
Hahaha hapa umenena.. Ila kama analipa .. Unamwavhia nani?? Kula
 
Newton 3rd law of motion " at every action, there is equal and oppsite reaction"; Je ktk maisha ya kawaida hay mambo yanawezekana? Pima then amua kwani kupanga ni kuchagua.But keep in mind that sio vyote ving'avyo ni dhahabu.

Ila ungekuwa ni wa jamii ya KIHIMA (watutsi) halafu wewe ukawa mwanamke inawezekana kwani mke mmoja weunu ni mke wa ukoo mzima; hivyo labda ungekuwa unatoka nje kidogo ya utamaduni yaani mume wa mmoja ni mume wa ukoo mzima.Ila kwa wabantu wengi siyo hivyo.

Nakutakia upotofu mwema katika uozo (uozo ndiyo maana halisi ya ufisadi) wako.

Acha kudanganya watu wewe aliyekwambia mila zetu Ziko hivyo Ni Nani?Kama hujui kitu Ni bora kufanya uchunguzi kwanza
 
kizazi cha digital hiki achaa kabisa yaani mi sijui nishauri nini hapa kujiachia shida kuwa mkoloni shida
 
Yaani kaaaaaaaaazi kweli kweli kwa hizi pepo za ngono wanazoendekeza hawa wananchi kwa hali hii ya sasa...
:smile-big:
 
Semesozi Salut! ni watu wachache ambao wanaweza simama na kusema hiko unachosema wewe ni mgeni, kupinga ni rahisi zaidi. Pamoja na Ugeni wako ninacho kiona unadevelop chemistry na mama mkwe. Chemistry zikisimama hazijalishi ni nani yuko mbele kama mama mkwe, dada, mama, mwanaume mwenzio au mtoto hata kama uzinzi ni uzinzi lakini zipo kesi kibao zinazohusu mambo haya.

Ukimpelekea moto mama mkwe tutakuwa hatuna radhi na wewe, manake mzazi unatengeneza chemistry wakati zikipanda hutaweza zizuia kwanini usikae mbali na mama mkwe. Mbona kabila zingine watu wanakaa mbali na wakwe zao kama Wahaya lakini wewe unagonga na Mama mkwe? sie hatumo bana

Kuna makabila ya kisenge sijapata kuona. Yaani wewe na mama mkwe wako mnakaa kbs bar mnagida maji wkt sisi wengine hata meza moja hatukai tusizoeane?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom