joel amani
Senior Member
- Nov 22, 2011
- 100
- 8
jf naomba nifaham zaidi mana huwa najiuliza sana,hivi katika kufanya sex hawa akina dada wanapata hutofauti gani wanapokuwa wanafanya ngono na mwanaume aliyetahiriwa au asiyetahiriwa? licha ya kwamba ya govi lina sura mbaya kama pua ya nguruwe ila ipi tamu zaidi kwao kwenye lovemaking?