mmzalendo
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 165
- 1
hivi kuna tofauti gani kati ya watanzania na waliopo jela?
kwanza kuna wengi waka jela na hawana hatia lakini pia jela kuna ulinzi wa kutosha
ukirudi kwetu sisi tulioko huru ukisema tu kajambo ka kugombea uhuru wako unazushiwa kesi na kupelekwa jela
na ukipinga ccm una funguliwa kesi na kwenda jela
sasa hapa mimi napata utata sisi tunaotembea uhuru lakini tuna hofu ya matendo yetu na maneno yetu tunatofauti na wale walioko jela au wale wajela wana uhuru kuliko sisi?
kwanza kuna wengi waka jela na hawana hatia lakini pia jela kuna ulinzi wa kutosha
ukirudi kwetu sisi tulioko huru ukisema tu kajambo ka kugombea uhuru wako unazushiwa kesi na kupelekwa jela
na ukipinga ccm una funguliwa kesi na kwenda jela
sasa hapa mimi napata utata sisi tunaotembea uhuru lakini tuna hofu ya matendo yetu na maneno yetu tunatofauti na wale walioko jela au wale wajela wana uhuru kuliko sisi?