Rumishaeli
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 227
- 72
Wana JF
Kuna tetesi kuwa kuanzia kesho diesel na petrol vitakosekana, nimejaribu kufuatilia miji ya dar na arusha ni kweli jioni hii kuna foleni kwenye vituo vya mafuta, hili litapelekea mitambo ya TANESCO inayotumia mafuta kutozalisha umeme na kama tunavyojua TANESCO wamejiandaa kupiga chini mtandao wa luku ili kupunguza matumizi. Kujiweka sawa hakikisha kama una gari unanunua mafuta leo pamoja na umeme kwa wale wanaotumia LUKU. Mwenye habari zaidi atujulishe.
Kuna tetesi kuwa kuanzia kesho diesel na petrol vitakosekana, nimejaribu kufuatilia miji ya dar na arusha ni kweli jioni hii kuna foleni kwenye vituo vya mafuta, hili litapelekea mitambo ya TANESCO inayotumia mafuta kutozalisha umeme na kama tunavyojua TANESCO wamejiandaa kupiga chini mtandao wa luku ili kupunguza matumizi. Kujiweka sawa hakikisha kama una gari unanunua mafuta leo pamoja na umeme kwa wale wanaotumia LUKU. Mwenye habari zaidi atujulishe.