Kuna tatizo katika kanuni za somo la hisabati!!!!!

8*2 ina maana zaidi ya watu na machungwa,watu na machungwa ni mfano mmoja tu kati ya mamilioni ya mifano,mfano huu ni wa level ya chini sana(ni kwa darasa la 1-3 labda) uking'ang'ania hayo machungwa yako utatengeneza barier ya kuelewa hesabu,maana zero ina definition zaidi ya"hakuna kitu"

hata wagunduzi wa vitu vikubwa walianza na concerpt za chini sana. iweje wewe ambaye hata kutengeneza baiskeli tu huwez unazbeza?
 
hata wagunduzi wa vitu vikubwa walianza na concerpt za chini sana. iweje wewe ambaye hata kutengeneza baiskeli tu huwez unazbeza?
Engager hujanielewa 2,niliposema kuwa ni concept za chini,nilimaanisha ni za madarasa ya 1 2 na 3,ila sikuzishusha thamani,kwani hata mbuyu ulianza kama mchicha
Japo hata aliyetengeneza baskeli alitumia akili nyingi sana na alikuwa ni mtaalam ktk masuala ya equilibrium nk
 
Mi nasupport majibu ya Sugi na Madela. Wametumia njia nzuri kuprove! Big up wakuu,naamini hata muuliza swali kama alikuwa na nia ya kutaka kujua amepata majibu mazuri kutoka kwa wachangiaji wengi,ila kama lengo lake ni kutaka kubishana humu ndani,hatakaa aelewe. Watu wengi wametoa majibu mazuri.
 
mtazamo wangu ni kwamba, tunaposema lets say 8×3=24 katika hisabati na uhalisia ni kwamba...(chukulia mfano huohuo wa machungwa). unatoka Moro kwenda Dodoma kufuta machungwa. ukaenda trip tatu (3). Trip1 ukachukua machungwa 8. hesabu yako itakuwa machungwa 8 kwa trip moja utakuwa na hayo hayo 8. ie 8×1=8. haya, utakwenda mara(trip) ya pili utachukua nane. ukiongeza kwenye stock ya mwanzo yatakuwa 16. ie 8×2=16. utakwenda tena mara ya tatu utaleta mchungwa 8, utaongeza kwenye yale 16 yatakuwa 24. kwa hyo tunasema umefuata safari tatu na kila safari ulileta machungwa 8. kwa hiyo unamachungwA 24. (8×3=24 au 8+8+8=24).
sasa hebu fikiria. Uko Moro, huna machungwa. Dodoma kuna machungwa mengi tu. sasa unataka ufuate machungwa 8. (kumbuka wakati huo huna mchungwa ila sasa unataka kufuata.) sasa unafuata machungwa 8 mara sifuri. kwa kifupi ni kwamba hujafuta trip yoyote japo ulitaka kufuata matunda8. kwa hiyo utaendelea kuwa huna kitu. ndio maana 8×0=0 au hata 0×3=0; kwamba umekwenda Dodoma safari tatu kufuata machungwa.lakini kila safari uliyoenda hukurudi na kiru (machungwa sifuri). unadhani baada ya safari hzo 3 utakua umekusanya kiasi gani?..........

unatumia kinywaji gani? Mkuu
 
heading ukichanganya na swali, unakuta ni kituko. kanuni iliovunjwa ni ipi? kuzidisha ni operator. operator sio kanuni.
 
mtazamo wangu ni kwamba, tunaposema lets say 8×3=24 katika hisabati na uhalisia ni kwamba...(chukulia mfano huohuo wa machungwa). unatoka Moro kwenda Dodoma kufuta machungwa. ukaenda trip tatu (3). Trip1 ukachukua machungwa 8. hesabu yako itakuwa machungwa 8 kwa trip moja utakuwa na hayo hayo 8. ie 8×1=8. haya, utakwenda mara(trip) ya pili utachukua nane. ukiongeza kwenye stock ya mwanzo yatakuwa 16. ie 8×2=16. utakwenda tena mara ya tatu utaleta mchungwa 8, utaongeza kwenye yale 16 yatakuwa 24. kwa hyo tunasema umefuata safari tatu na kila safari ulileta machungwa 8. kwa hiyo unamachungwA 24. (8×3=24 au 8+8+8=24).
sasa hebu fikiria. Uko Moro, huna machungwa. Dodoma kuna machungwa mengi tu. sasa unataka ufuate machungwa 8. (kumbuka wakati huo huna mchungwa ila sasa unataka kufuata.) sasa unafuata machungwa 8 mara sifuri. kwa kifupi ni kwamba hujafuta trip yoyote japo ulitaka kufuata matunda8. kwa hiyo utaendelea kuwa huna kitu. ndio maana 8×0=0 au hata 0×3=0; kwamba umekwenda Dodoma safari tatu kufuata machungwa.lakini kila safari uliyoenda hukurudi na kiru (machungwa sifuri). unadhani baada ya safari hzo 3 utakua umekusanya kiasi gani?..........

unafaa kuwa mwalimu. Asipoelewa hapo nahisi hatoelewa tena.
 
Sidhani kama kuna tatizo, labda ni sisi wenyewe hatujaelewa kanuni hizo.

Sifuri ni nini? Kwa mtizamo wangu, sio lazima iwe na maana ya "hamna kitu"! Inategemea na 'aina ya namba' au vipimo unavyoongelea. Kwa mfano kama kitu kina joto la nyuzijoto sifuri haina maana 'hakina joto' na bado kuna vingine vinaweza kuwa na nyuzijoto hasi 273!

Kwa hiyo katika huo mfano wako umesema 8 ni machungwa ni lazima pia utuambie hiyo sifuri ni nini pia? Au unaposema 'kuzidisha' maana yake nini kiuhalisia (naturally)? Je ni sawa kujirudia (incedence)?
 
watu wengi wamemwaga nondo humu na kiukweli mi nimewaelewa mno.. kwa hii ishu ya machungwa na sifuri mi naelewaga ki concept flani kwamba something can never result from nothing.. uking'ang'ania kuangalia hayo machungwa unaweza usielewe kitu kwasababu matatizo mengine ukitaka kuya solve unatakiwa uyaanzie mwisho wake kurudi mwanzo manake usifanye 8*0 rather fanya 0*8 inaweza kusaidia,,
 
au wapige sachi watu walokuepo wakati unayaleta manake wabongo bwana kwa udokozi hatujambo!! usije kukuta wapo bize kukuelekeza hizo habari za 8*0=0 kumbe hao hao ndo wameyabwenga
 
naam, nimekusoma mkuu.. nimejaribu kuichanganua kwa kichwa na nime realize kitu unachokisema.. una machungwa nane na ukayazidisha kwa sifuri iweje upate sifuri??? Je! yale machungwa nane yatakua yamepotelea wapi?? kwa akili za kikawaida machungwa nane ukiyazidisha kwa sifuri ayataongezeka wala kupungua bali yatabaki vile vile, nimekubaliana na hoja yako mkuu
iss sio 2012 sio?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom