utoto bana, eti kitu ya moto kuna kaa la moto huko????
utamu wa chakula upo kwa mlaji, kama anapenda chakula cha moto aungue mdomo shauri yake au kama kilichopoa!!!
WW huu si utoto nauliza ili kupata jibu na sio kunipa majibu ya ajabu... km huna majibu ts beta ukae kimya.
hahahaaa asante kwa msaada wako.