Kuna tatizo gani uchaguzi usifanyike Jumapili?

Moja kwa moja wewe sio mkristo.
Katika hali hii unaweza kupiga kura halafu ukaenda ibadani.??
Hapo kwenye foleni ndefu namna hiyo utaweza kuwahi kweli.??

DSC_2223.JPG

Mbona kuna madhehebu mengine yanajiona yako special kuliko mengine , je wakatolik, Lutheran nao walalamike pia ..
Je siku gan inafaa kwa uchaguzi ?
Tukipeleka jmosi, au ijumaa wasabato na waislam itakuwaje hapo ..?
 
I love so much that church.nahama toka roman kuja full gospel,ndio penye haki na hakuna mafisadi na hawezi kuingia
 
Makota koya... Hivi we Chooni unatumia nn kufikiri.. au harufu imeshaingia kwenye ubongo.... Yasiyokuhusu pita pembeni... kapiga deal una uhakika?? Mbavumbapu...
Kila mtu ana siku yake ya kuabudu.
Kuna wanaoabudu jumatatu wengine jumanne wengine jumatano ...etc
sasa tukisema kila mtu aseme uchaguzi usifanyike siku anayoabudu patatosha?
 
Mbona kuna madhehebu mengine yanajiona yako special kuliko mengine , je wakatolik, Lutheran nao walalamike pia ..
Je siku gan inafaa kwa uchaguzi ?
Tukipeleka jmosi, au ijumaa wasabato na waislam itakuwaje hapo ..?

Siku ya uchaguzi inaweza kuwa Jumatatu, au Jumanne, au Jumatano au Alhamisi.
Yaani siku ya kupiga kura inaweza kuwa mojawapo ya siku hizo hapo juu.
 
Haya Makanisa nayo yasipopigwa marufuku yataanza kuleta balaa sasa Jumapili kwani kuna nini? Ivi hawa wakiristo mbona wameanza kupotoka zaidi na zaidi, uchaguzi unahusiana nini na mambo ya kikanisa ingekuwa Zanzibar waislamu wamevaa T-shirt kama hizi kutaka jambo flani kisiasa wangeitwa wachochezi na wangekamatwa muda huo huo wakaanza kufunguliwa mashtaka ya uhaini, ugaidi na uchochezi Tanzania Bara.
 
I love so much that church.nahama toka roman kuja full gospel,ndio penye haki na hakuna mafisadi na hawezi kuingia

Uhame mara ngapi? Wakati maandishi yako yanaonyesha u mfuasi mzuri wa Kakobe?
Waroma hawana mawazo finyu hivi.
 
Kila mtu ana siku yake ya kuabudu.
Kuna wanaoabudu jumatatu wengine jumanne wengine jumatano ...etc
sasa tukisema kila mtu aseme uchaguzi usifanyike siku anayoabudu patatosha?

Hebu taja mfano wa watu (madhehebu) hapa Tanzania wanaoabudu jumatatu, jumanne, jumatano na alhamisi..!!
 
Kakobe ni msanii sana aisee! so anataka tupige kura jumangapi sasa, maana kila siku ipitayo ni siku ya kuabudu kwa dhehebu fulani, eg J'mosi ni SDA, j3 hindu, j4, pool of seloam churh, j, tano Shinto of japanese, alhamisi, siku ya kutoa sadaka kwa mizimu ya waafrika wengi, Ijumaa ndio iache kabisaaaa!
 
Siku ya uchaguzi inaweza kuwa Jumatatu, au Jumanne, au Jumatano au Alhamisi.
Yaani siku ya kupiga kura inaweza kuwa mojawapo ya siku hizo hapo juu.
Una uhakika siku hizo hakuna watanzania wa madhehebu mengine wanafanya ibada zao?
 
Wakati mwingine yuko sawa.
Hizo t.shirt atakuwa amejipatia happ hela nzuri. Kakobe amekuwa mchumi kama mzee wa loliondo.
 
Wakati mwingine yuko sawa.
Hizo t.shirt atakuwa amejipatia happ hela nzuri. Kakobe amekuwa mchumi kama mzee wa loliondo.

Kila T-shirt ni sh. 3,500 tu (shilingi elfu tatu tu za Tanzania).
Jiulize kama kuna hela yoyote imepatikana kama faida ukitoa gharama za t-shirt hizo.
Pole sana kwa kutojua hesabu ndogo kama hii.
 
Usikurupuke soma ujumbe ulipo kwenye mada ndio uchangie...Amesema Marufuku uchaguzi kufanyika siku za IBADA kwa madhehebu yote yanayotambulika(Sabato-Jumamosi, Other christians-Jpili na waislam-Ijumaa).. Akatoa na mifano ya nchi nyingi ambazo hazikufanya uchaguzi kati ya siku hizo tatu takatifu kwa madhehebu tajwa... !
tusiendekeze upumbavu huu sababu ni nini? kama yeye anakusanya sadaka si afungue asubuhi kanisa saa moja au aanze ibada saa tisa. mimi siafiki, na waisilamu nao waseme tusifanye uchanguzi ijumaa, hii ni vurugu, tusiendekeze pumba hizi
 
Hamishieni Ijumaa, waislamu hawana shida na hilo after-all ibada kwa waislamu ni kila siku tena mara tano!
 
Back
Top Bottom