Sultan_mdosse
Senior Member
- Nov 24, 2013
- 145
- 15
Asubuhi niliingia kwenye CAS nikaambiwa nimechaguliwa moja ya programs nilizoomba as hivi nimeingia nimeambiwa niombe tena tatizo nn?? Nimeuliza wengine wana tatizo km langu,msaada Tafadhali.
angalia vizuri kwenye yale majina ya wanaotakiwa kufanya 2nd round, kama haumo wafate watakusaidia