Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,280
- 1,763
Wakuu,
Ni siku ya tatu leo huu mtandao haueleweki kbs. Nimekuwa najaribu kupiga simu zaidi ya mara 6 ndio nimpate ninayemhitaji. Msg za juzi ndo zina deliver leo. Hebu tusaidiane wananchi wenzangu, nini tatizo??
Ni siku ya tatu leo huu mtandao haueleweki kbs. Nimekuwa najaribu kupiga simu zaidi ya mara 6 ndio nimpate ninayemhitaji. Msg za juzi ndo zina deliver leo. Hebu tusaidiane wananchi wenzangu, nini tatizo??