Kuna tafauti gani Mh Abuu Bakari kati ya Tanganyika ya zamani na Tanzania ya sasa?

Kakke

JF-Expert Member
Dec 4, 2010
1,883
1,482
[h=1][/h]Written by amini // 29/06/2011 // Habari // No comments

Tanganyika kabla ya Muungano, nembo ya Taifa.

Tanganyika ya sasa simbuli(nembo) ni ile ile jee Wazanzibar si tuko ktk tumbo la Tanganyika kwa jina la ubatizo Tanzania?.

Kama Mh AbuuBakari ni Mwana Sheria basi kuna vipengele vya sheria
hakuvipitia vizuri? kwanza ni sheria na haki za mzulumiwa, ambao
Wzanzibar kwa mujibu wa sheria ndio wazulumiwa wakupwa tokea mwanzo wa
huo mfumo mzima na utaratibu wake wa Muungano.
Haiwi ndowa ukitaka kuowa nilazima makubaliano ya wenye kuoa na kuolewa
wakubaliane sio kulazimiswa tu, sasa wahusika wa Muungano ni wzanzibar
wenyewe na hawakuulizwa na hivi sasa Mh AbuuBakari sijamfahamu alipo
sema hata hio mswada wa maoni ya katiba mpya basi wananchi wataangaliwa
maoni yao? alipo ulizwa na muwakilishi wa chake chake kuwa wananchi
wakiamua kusema Muungano basi jee vipi Mh Abuu? Mh asema eti tutapima na
hayo maoni nyenye jee vipi hayato hatarisha ulaji wetu ? maana mimi
naona Mh kajibu utumbo?.
Mara zaote hakuna mtoto kumzaaa mzee? sasa kati ya Wzanzibar na akina
Abuu na wenzake ipi power? mimi naona Mh Abuu nimiongozi mwa watu wenye
kuhitaji sifa kutoka Tanganyika na kuwakandamiza Wzanzibar.
Maana kisheria Wzanzibar Muungano upo au haupo? Muungano mimi nahisi
haupo maana huwezi kufanya ushirika na Kombo kecho ukambiwa umefanya
ushirika na Nyange? uchirika ninao fahamu mimi ni makubaliano yani ni
(agrement) hata ndoa basi zina Agrement M/mungu katuwekea(cheti cha
ndoa) sasa na huu Muungano wetu unao Agrement kama ipo na nisikiavyo
kuwa Agrement ni kati ya Tanganyika na Zanzibar? sasa kinacho
tuchanganya Wzanzibar nikuwa leo twambiwa Tanganyika haipo ipo Tanzania
From no where?.
Sasa kweli Mh Abuu Muungano ni halali? na baado tuendelee kulinda na
kuenzi? mimi nahisi Mh Abuu unamsadia Aduwi na Mradi wake wakuimaliza
Zanzibar kwa jina la ubatizo Tanzania.
Mh Abuu katika huo mkataba wa Muungano(Artcle of Union) kuna kipengele
gani kilicho andika Tanzania? a.) b.) Kama Muungano kisheria ni halali?
Jee ilipo vunjwa Tanganyika na Bunge la Tanganyika na Katiba ya
Tanganyika ambae ndio mchirika wa Zanzibar Memba Baraza la Mabinduzi
au Baraza la Uwakilishi la Sasa jee Mulishauriwa kisheria au vipi na
kama mulishauriwa uko ushahidi wowote?
C.) Kama hamukushauriwa jee Bado Muungano nihalali? na Kama nihalali
jee mkataba wa Muungano umetaja Muungano huu sasa ni wa Tanzania na
Zanzibar? Yani mkataba umefanyiwa marekebisha na Sulusi 3 za wahusika wa
pande mbili za Muungano?
Jengine ni kiungo cha Mkataba wa Muungano Arcle of Union? Raisi wa Watu
wa Zanzibar ndio kiungo kikubwa cha Muungano kwa vile Rais kapigiwa kura
na Wzanzibar ambae anawakilishi watu wake sasa kiungo cha Muungano hivi
sasa kinacho wawakilisha Watu wa Zanzibar ktk Muungano ni kipi ikiwa
Rasi wa Zanzibar states yake ktk Muungano ni Waziri asio na wizara
maalum yani hata ofisi Bara hana ya Muungano na ni mjumbe wa baraza la
mawaziri . Jee bado Muungano ni halali?.
Na ikiwa tushukulie anae wakilicha Muungano ni Dr Bilali sheria gani na
ridhaa gani ya kuwawakilisha wazanzibar? kama mimi siko ktk ccm/cuf au
ktk chama chochote jee bilali kapata ridhaa gani kwangu mimi Mzanzibar
aniwakilishe wakati mimi sio ccm wala sina chama?.
Na kama Muungano Mh Abuu ni halali kisheria Yapi mambo yasio ya Muungano
Bara na yanasimamiwa na katiba gani isio ya Muungano ikiwa Tanganyika
ndio haipo? b.) Jee nivikaao vingapi vilivyo kwisha kaa Baraza au Bunge
linalo jadili mambo na rasilimali za Tanganyika lililokaa kujadili
mambo yao ya sio ya Muungano?.
Na jee Mh Abuubakari SMZ na wajumbe wa Baraza la Uwakilishi na
Wanasheria kwa vile Muungano ni halali Jee tumerizika kuwa na mshirika
mpya Tanzania badala ya Tanganyika? na kwa zamira gani na nia gani kufaa
kwa Tanganyika ikawa haitajwi wala kusikika tena kama Zanzibar lengo na
mazumuni ni nini?.
Au nikupata mwanya wa kuwa utaifa wa Zanzibar na kuwa na sera ya
serekali 1 Tanzania lakini power tafauti? Hivi sasa kilisho badilika ktk
Serekali ya Tanganyika ni jina tuu nisawa na Zaire ya zamani kuita
Kongo lakini nembo za nchi nizile zile za awali za Tanganyika kama nembo
ya Taifa ya Adam na Hawa? na Katiba ya Tanganyika ndio hii hii ya
Tanzania kuna vipengele tu flani vimebadilishwa lakini haiizuru
Tanganyika.
Jee Mh Abuu na Wajumbe wa Baraza Mumerizika na mapungufu yote mazito na
makubwa kuwa bado Muungano ni halali na tuwenzi na kuudumisha? kwa nini
Tanganyika isiwepo kama kweli Muungano ni halali.
Mimi nahisi Muungano umeshapoteza uhalali wake tokea kufa kwa Tanganyika
na nyiyi viongozi au munao jita wana sheria kuna mpako wakutupeleka
ovyo kutokana na maslahi yenu mulio wekeza Bara ya kibiashara, sisi
hatuko tayari Wzanzibar kuza nchi kwa maslahi ya wafanya biashara waloko
Bara au kusema ukivunjika Muungano watakwenda wapi? warudi nyumbani
bado tunawahitajia , nibora kurudi nyumbani kuliko kubakia ugenini?.
Zanzibar itajengwa na Wzanzibar wenywe wenye ari na uchungu wa nchi yao
na kila Wzanzibar wakiondoka basi ndio hasara ya Zanzibar maana mipango
ni kuingiza wakeni kwa wingi na kuua Uzawa wa ki-Kizanzibar, Zanzibar ni
ndoko hata ukilinganicha na Mkoa wa Murogoro una watu wengi kuliko
Zanzibar kwa hio kupotea kwa Identite ya Kizanzibar nimara moja tu.
Haingii akilini kabisa kwa mtu mwenye akili timamu kuwa watu million 44
kungana na watu million 1.2 hii sio halali ni zulma na uonevu mkubwa.
Mungu ibariki Zanzibar na ujalie imani mzuri viongozi wetu wabadilike ili kuinusuru Zanzibar na kizazi chake kuangamia.
 
Back
Top Bottom