Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Kongamano la UDASA jana Jumamosi tarehe 2, Machi 2011, limewaacha waTz midomo wazi, wakishindwa kuelewa dhamiri ya muswada huu!!!!!!!. Haiingi akilini kwa serikali yenye nia njema na mustakabali wa nchi kuweza kuandika muswada kama ule!!!!!!!!.Ni dharau kwa waTz;
Mimi nina maono yafuatayo:-
1: CCM na serikali yake inaelewa fika agenda ya siri iliyomo ndani ya muswada huo; hauna dhamiri njema kwa tafsiri ya mTz mwenye akili timamu, zaidi ya provocation of maandamano ili watumie nguvu ya dola kuzima maasi;
2:CCM na serikali yake wamelenga kwamba muswada huo usipopita, basi watakuwa wamepata sababu ya kuendeleza delaying tactics mpaka mwaka 2020!!!!!!!!!!!!;
3: CCM na serikali yake wanajenga mazingira ya machafuko nchini ili rais wao atangaze hali ya hatari, na kuanza utawala wa kidikteta!!!!!!;
4: Kwa kuwa CCM na serikali yake hutawala kishirikina, mradi wa Loliondo umewaingiza mkenge katika hili-wakidhani kwamba hili ni taifa la mazezeta kwa vikombe vya babu wa Loliondo;
Mimi nina maono yafuatayo:-
1: CCM na serikali yake inaelewa fika agenda ya siri iliyomo ndani ya muswada huo; hauna dhamiri njema kwa tafsiri ya mTz mwenye akili timamu, zaidi ya provocation of maandamano ili watumie nguvu ya dola kuzima maasi;
2:CCM na serikali yake wamelenga kwamba muswada huo usipopita, basi watakuwa wamepata sababu ya kuendeleza delaying tactics mpaka mwaka 2020!!!!!!!!!!!!;
3: CCM na serikali yake wanajenga mazingira ya machafuko nchini ili rais wao atangaze hali ya hatari, na kuanza utawala wa kidikteta!!!!!!;
4: Kwa kuwa CCM na serikali yake hutawala kishirikina, mradi wa Loliondo umewaingiza mkenge katika hili-wakidhani kwamba hili ni taifa la mazezeta kwa vikombe vya babu wa Loliondo;