Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,722
- 155,393
Naomba unieleze mambo yafuatayo kwann yanatokea wakati mtu amelala chalii tu
i. Kufikiri kwa makini na kulala chalii
ii. Kupumzisha mwili(relaxing) na kulala chali.
iii. Ndoto za ajabu mfano kupaa,kupambana na wanyama,mauaji na kulala chali.
iv. Majinamizi(kujiskia km vke unanyongwa unapoteza pumzi) wakati umelala chali..
v. Kutoka nje ya mwili(astral projection) wakati mtu amelala chali.
vi. Mtu akifa analazwa chali.
Pia je mtu anapolala chali ubongo huwa anajisogea kwenda nyumaa toka utosini?
i. Kufikiri kwa makini na kulala chalii
ii. Kupumzisha mwili(relaxing) na kulala chali.
iii. Ndoto za ajabu mfano kupaa,kupambana na wanyama,mauaji na kulala chali.
iv. Majinamizi(kujiskia km vke unanyongwa unapoteza pumzi) wakati umelala chali..
v. Kutoka nje ya mwili(astral projection) wakati mtu amelala chali.
vi. Mtu akifa analazwa chali.
Pia je mtu anapolala chali ubongo huwa anajisogea kwenda nyumaa toka utosini?