Mjomba wa taifa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 231
- 161
Katika jambo ambalolimekuwa likiumiza vichwa vya watu wengi nchini ni kuwa inakuwaje mtu anapoibiwa kifaa cha gari yake anaambiwa aende mtaa wa Gerezani Ilala atavikuta vitu vyake. Na anapokwenda kweli hukuta vifaa vilivyoibwa na kuvinunua upya.
Hivi kweli hapo bado tunasema nchi hii ina askari polisi? Au polisi yetu ni kwa ajili ya kuzuia maanadamano ya CHADEMA tu? Hivi ni nani ambayehajasikia ushenzi huu unaofanywa na wezi hao? Ninalazimika kuamini kuwa Polisi wetu kuanzia kwa IGP wanajua kabisa ushenzi huu ila kuna masilahi wanayoyapata. Haingii akilini kuibiwa maliyako na siku moja baadae unaenda kuuziwa mali hiyohiyo huku serikali ipo.
Watu wanaposema wamechoshwa na ushenzi huu mnasema wametumwa na CHADEMA. Hivi kweli serikali inashindwa kutokomeza genge hili? Ni bora mkatangaza kuwa hakuna jeshi la Polisi na kila mtu ajilinde kivyake. Huu ni upuuzi!!!!
Najua kesi kama hizi zimewapata wadau wengi na wamekuwa wakiugulia machungu kimyakimya.
Hivi kweli hapo bado tunasema nchi hii ina askari polisi? Au polisi yetu ni kwa ajili ya kuzuia maanadamano ya CHADEMA tu? Hivi ni nani ambayehajasikia ushenzi huu unaofanywa na wezi hao? Ninalazimika kuamini kuwa Polisi wetu kuanzia kwa IGP wanajua kabisa ushenzi huu ila kuna masilahi wanayoyapata. Haingii akilini kuibiwa maliyako na siku moja baadae unaenda kuuziwa mali hiyohiyo huku serikali ipo.
Watu wanaposema wamechoshwa na ushenzi huu mnasema wametumwa na CHADEMA. Hivi kweli serikali inashindwa kutokomeza genge hili? Ni bora mkatangaza kuwa hakuna jeshi la Polisi na kila mtu ajilinde kivyake. Huu ni upuuzi!!!!
Najua kesi kama hizi zimewapata wadau wengi na wamekuwa wakiugulia machungu kimyakimya.