Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,982
- 4,164
Kumbe mambo yake sio haba.Mumewe..anafanya kazi kampuni mojawapo ya mafuta kama sijakosea ni Pan Africa Energy or something in those lines
Kumbe mambo yake sio haba.Mumewe..anafanya kazi kampuni mojawapo ya mafuta kama sijakosea ni Pan Africa Energy or something in those lines
Mkuu punguza hasiraNaiona nia ovu kwenye yote yanayofanyika nssf, why only nssf??? Mbona mashirika mengine hayaguswi? Tanesco, pspf, ppf, lapf ni mashirika yenye udini kuliko nssf! Kwakuwa wamejazana wala nguruwe hayaguswi ! Anway let us wait and see
Mkuu habari yako bhanaAu mzee Rama nae alikua anapoza rejeta hapa??
Hee!Jiulize mkutano wa Arusha nani alilala Mount Meru Hotel
Double standard ndio biggest problem kwa awamu hii!Mbona tusisamehehane tu kuwe na maridhiano tuanze upya. Hailet mantik yeyote kabisa kutumbua kundi flan na wengine kukwepwa na hii imejidhihirisha waz kwenye Lugum, UDOM Flow mitre na kadhalika. Huu mchezo hauitaj hasira bali hekima na utu.
Usiwe na upesi, kazi ndio inaanza!
Bodi mpya ya NSSF imeridhia maombi toka kwa Bosi mpya wa NSSF kuwa wakurugenzi na mameneja wasimamishwe kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma mabali mbali.
Lakini cha ajabu wakati wameneja na wakurugenzi wamesimamishwa kuna huyu mwana mama (EUNICE CHIUME) ambaye ni Meneja Kiongozi ambaye alikuwemo kwenye kamati zote za manunuzi na kamati zilizokuwa zikikaa kupitisha miradi mikubwa amebakishwa na anaendelea na kazi
Hii ina maana kuwa huyu Mkurugenzi mpya wa NSSF amekuwa compromised au kapigwa presha toka kwa wazazi wake huyu binti ambao ni wazito sana kwenye serikali ya Magufuli?
Hivi inaingia akilini kuwa tenda board ya watu 8 ilipitisha mambo tena kwa kutia saini lakini wakati wa hukumu wahukumiwe watu 7? Hii inaingia akilini kweli? Kuna siri gani au instructions zimetolewa kuwa huyu mama asiguswe?
Credibility ya huyu mkurugenzi na board mpya ishaanza kuwa questionable.
Kuna task force imeundwa kufichua wafanyakazi wa NSSF wanaomsema vibaya Eunice na Bosi
sasa hivi vitisho mpaka lini?
Mbona tusisamehehane tu kuwe na maridhiano tuanze upya. Hailet mantik yeyote kabisa kutumbua kundi flan na wengine kukwepwa na hii imejidhihirisha waz kwenye Lugum, UDOM Flow mitre na kadhalika. Huu mchezo hauitaj hasira bali hekima na utu.
Nisome tena ktkt ya mistari utaelewaKazi ipi? Yenye matokeo yapi? Usha conclude kuwa amefanya kazi nzuri mara hii tu?
Ndio sifa kubwa ya awamu hiiiDouble standards !?!
Ndio sifa kubwa ya awamu hiii
Huyu DG mpya kama kweli then hana maanaKuna task force imeundwa kufichua wafanyakazi wa NSSF wanaomsema vibaya Eunice na Bosi
sasa hivi vitisho mpaka lini?
Hivi Janeth mbene bado ni mbunge?Ohhhh Huyu mama yake Eunice alikua analengesha kuzaa na wanaume maarufu sana. Maana Mdogo wake naye baba yake ni yule Mh. Waziri na diplomat asiyeiva na boss baada ya ile sakata la waifu.