Napata shida na Jirani yangu, anayefuga kuku wa kienyeji na kuwaacha huru wakizunguka mtaa mzima na kuharibu bustani za majani, miti, maua na uharibifu mkubwa wa mazingira! Nimemsihi awafungie ndani ya uzio wake lakini imeshindikana. Nichukue hatua gani? Naomba msaada!