RasJah
JF-Expert Member
- Nov 5, 2009
- 703
- 64
Tanzania kweli ni nchi ambayo huwa inakulupuka katika maamuzi amba asili na msingi wake mkubwa ni ulaji tu.
Historia inaonyesha RITA ilianzishwa chini ya Wizara ya Sheria na Katiba na baadae kuwa Agency na punde ilipokuwa agency lobbyist Dickson Maimu akawa CEO wa shirika mara aliposikia kuwa NIDA inataka kuanzishwa chini ya Wizara Mambo ya Ndani tena huyu Dicky Maimu akarukia kule NIDA baada ya kufanya madudu makubwa sana. Sijui Usalama wa Taifa na PCCB mnafanya nini japo watu wasio mjua wanafirikilia eti mtu wa usalama sio kweli huyu historia yake alitokea Ofisi ya Takwimu kama Statistical Officer alibebwa na baba yake mzazi marehemu mzee Maimu yeye alikuwa amemaliza form four tu akajiendeleza kwa kwenda EASTC na kwenda kusoma UK digrii ya kwanza baada ya kumaliza certificate na diploma ya EASTC napo kwa kubebwa sana kwani ni kilaza. Akafanya kazi kwa muda mrefu pale NBC kitengo cha Computer ambacho baba yake alikuwa ndio incharge na Ndg. Mshangila ambaye kwa sasa ndiye Ag Director wa IT pale Hazina ambaye sifa zake ni kama za Dick Maimu.
Punde huyu D. Maimu aka lobby tena akaenda utumishi kitengo cha IT pale Utumishi chini ya kipanga Sawe yenye alikuwa Assistant Director na punde akanusa kuwa kule RITA yule mama wa Vizazi na vifo yuko karibu kustaff akaenda RIta na kurukia NIDA ambako alisikia kuwa mradi wa vitambulisho vya kitaifa hiyo project itakuwa na pesa nyingi sana ndipo akaitelekeza RITA na kwenda NIDA ambako kwa sasa anasababisha na kuleta shida kwa watumishi wa Serikalini kwani tayari madudu yake yameanza kuwa affect watu pale Hazina.
Sad sad news for Dr. Yamungu Kayandabira (Assisitant Commissioner for Policy Analysis - Debt Analysis) Hazina ametolewa na kupelekwa chuo cha Kodi kufundisha kisa alikataa kukubali NIDA kupewa zaidi ya Bil. 40 ambazo BOT walizitoa kutokana na opportunist wa D Maimu kisheria NIDA hawa budget ya kujiendesha sasa huyu CEO asiyejua lolote na kujua kuwa fedha za bajeti lazima ziombwe kutoka parent ministry ambayo ni Hazina na siyo PPF wala NNSF, na hiyo ndio sababu ya young man and brilliant Dr. Yamungu kufuata sheria ambao kwa uwezo mdogo wa Mkullo aka side ma Maimu kum-victimize dogo sasa dogo ameambiwa akaripoti ITA je hii fair, JK kijana anaonewa kwa safe guard interest za nchi na fedha za walipa kodi lakini battle ni nzito sana lazima m2 achunguzwe na huyu alipopewa memo kuwa BOt wamepewa order upewe pesa bac jamaa akawa anaamukia pale BOT kufuatilia hiyo 40 biln huyu kweli ni mmachinga wa serikali au ni nani?
Na kwanini Katibu Khijja na other top officials pale Hazina mnashindwa kutoa maamuzi au mnataka Hazina ibaki na vilaza watupu huyu kijana lazima aende World Bank au IMF. Na hii dalili imejitokeza kwa watu wenye uwezo mkubwa kutolewa Hazina mfano CPAD Kamugisha alitolewa na kurudishwa TRA na kuwa Director Special Duty wakati TRA, DRP Muganyizi ni kilaza mkuwa kwani hata ripoti ya IMF au World Bank wame question capacity ya DRP na wakati Kamugisha alikuwa anaimudu sana na hata CPAD aliopo sasa pale Hazina ni feki hana nondo. Kwa ujumla wake DRP anachonya pale TRA ni ku promote uhaya kwa kumpa cheo kilaza mwingine Robery Rutajama kama Manager wa Macro wapi na wapi. Nawachia wana JF mjimwage kwa haya machache lakini nchi inaelekea kubaya sana nchi itakuwa kama Libya, Misri na Tunisi where poor governance brings civil wars.
Historia inaonyesha RITA ilianzishwa chini ya Wizara ya Sheria na Katiba na baadae kuwa Agency na punde ilipokuwa agency lobbyist Dickson Maimu akawa CEO wa shirika mara aliposikia kuwa NIDA inataka kuanzishwa chini ya Wizara Mambo ya Ndani tena huyu Dicky Maimu akarukia kule NIDA baada ya kufanya madudu makubwa sana. Sijui Usalama wa Taifa na PCCB mnafanya nini japo watu wasio mjua wanafirikilia eti mtu wa usalama sio kweli huyu historia yake alitokea Ofisi ya Takwimu kama Statistical Officer alibebwa na baba yake mzazi marehemu mzee Maimu yeye alikuwa amemaliza form four tu akajiendeleza kwa kwenda EASTC na kwenda kusoma UK digrii ya kwanza baada ya kumaliza certificate na diploma ya EASTC napo kwa kubebwa sana kwani ni kilaza. Akafanya kazi kwa muda mrefu pale NBC kitengo cha Computer ambacho baba yake alikuwa ndio incharge na Ndg. Mshangila ambaye kwa sasa ndiye Ag Director wa IT pale Hazina ambaye sifa zake ni kama za Dick Maimu.
Punde huyu D. Maimu aka lobby tena akaenda utumishi kitengo cha IT pale Utumishi chini ya kipanga Sawe yenye alikuwa Assistant Director na punde akanusa kuwa kule RITA yule mama wa Vizazi na vifo yuko karibu kustaff akaenda RIta na kurukia NIDA ambako alisikia kuwa mradi wa vitambulisho vya kitaifa hiyo project itakuwa na pesa nyingi sana ndipo akaitelekeza RITA na kwenda NIDA ambako kwa sasa anasababisha na kuleta shida kwa watumishi wa Serikalini kwani tayari madudu yake yameanza kuwa affect watu pale Hazina.
Sad sad news for Dr. Yamungu Kayandabira (Assisitant Commissioner for Policy Analysis - Debt Analysis) Hazina ametolewa na kupelekwa chuo cha Kodi kufundisha kisa alikataa kukubali NIDA kupewa zaidi ya Bil. 40 ambazo BOT walizitoa kutokana na opportunist wa D Maimu kisheria NIDA hawa budget ya kujiendesha sasa huyu CEO asiyejua lolote na kujua kuwa fedha za bajeti lazima ziombwe kutoka parent ministry ambayo ni Hazina na siyo PPF wala NNSF, na hiyo ndio sababu ya young man and brilliant Dr. Yamungu kufuata sheria ambao kwa uwezo mdogo wa Mkullo aka side ma Maimu kum-victimize dogo sasa dogo ameambiwa akaripoti ITA je hii fair, JK kijana anaonewa kwa safe guard interest za nchi na fedha za walipa kodi lakini battle ni nzito sana lazima m2 achunguzwe na huyu alipopewa memo kuwa BOt wamepewa order upewe pesa bac jamaa akawa anaamukia pale BOT kufuatilia hiyo 40 biln huyu kweli ni mmachinga wa serikali au ni nani?
Na kwanini Katibu Khijja na other top officials pale Hazina mnashindwa kutoa maamuzi au mnataka Hazina ibaki na vilaza watupu huyu kijana lazima aende World Bank au IMF. Na hii dalili imejitokeza kwa watu wenye uwezo mkubwa kutolewa Hazina mfano CPAD Kamugisha alitolewa na kurudishwa TRA na kuwa Director Special Duty wakati TRA, DRP Muganyizi ni kilaza mkuwa kwani hata ripoti ya IMF au World Bank wame question capacity ya DRP na wakati Kamugisha alikuwa anaimudu sana na hata CPAD aliopo sasa pale Hazina ni feki hana nondo. Kwa ujumla wake DRP anachonya pale TRA ni ku promote uhaya kwa kumpa cheo kilaza mwingine Robery Rutajama kama Manager wa Macro wapi na wapi. Nawachia wana JF mjimwage kwa haya machache lakini nchi inaelekea kubaya sana nchi itakuwa kama Libya, Misri na Tunisi where poor governance brings civil wars.